don classic
Member
- Aug 24, 2020
- 35
- 37
Wakuu naomba kama kuna mtu ana mrejesho wowote kwa zile kazi za EAC zilitangazwa juzi.
Nakumbuka mwaka jana walitangaza, nikaomba nikaona kimya Mwaka huu wametangaza tena nafasi zilezile ila bado kuna kaukimya. Kuna yoyote ameitwa hata interview wakuu?
Nataka ili nisiendelee kuwa na matumaini kama imepita
Nakumbuka mwaka jana walitangaza, nikaomba nikaona kimya Mwaka huu wametangaza tena nafasi zilezile ila bado kuna kaukimya. Kuna yoyote ameitwa hata interview wakuu?
Nataka ili nisiendelee kuwa na matumaini kama imepita