Kuna msichana kanizimia

mansuly

JF-Expert Member
Jul 27, 2016
247
144
Ni siku kadhaa zimepita tangia nikutane na msichana huyo. Cha ajabu sikumpa namba yangu ila aliomba kwa mshikaji wangu akapewa na demu akaanza kunitafuta na kuanza kuniita mpenzi, nilishangaa sana.

Na nishawahi wahi kukutana nae na kunieleza kila kitu kuhusu mahusiano yake yote kipindi cha nyuma. Napata wakati mgumu huyu msichana hajanificha kaniambia ana mtu wake sema eti ka fall love kwangu mbaya na aniamini mbaya.

Je nifanyeje hapa???
 
naona umekuja kututambia huku.
nakukumbusha tu, dini zote zinakataza zinaa,
 
Inakuwa Ngumu sababu ikipita siku demu sikumtafuta anajisikia vibaya sanaa
Sasa umekuja kuomba ushauri gani huku na jibu unalo? Ebu acha taifa tuangalie kwa upana kwann bashite alilia kanisani
 
....naombeni ushauri.

1. Mkatalie
- Inakua ngumu kwasababu nisipomtafuta anajisikia vibaya.

2. Mkubalie
- Haiwezekani kasema ana mpenzi wake ila love me more.

Hii ndiyo jinsi waTanzania tulivyo tukiomba ushauri.
 
Mkuu nipe mimi namba zake, wewe mwambie mjomba wako atampigia.
Mimi nikipiga nitamtingisha nione anakupenda kweli au kakosa pa kupeleka stress zake.
Hahaaas duuu we ni shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom