funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,119
- 31,639
Hili ni swali kwa wawakilishi wa wananchi na wananchi ili tuende sawa.
1. Kuna mkoa haujajengewa hospitali au kituo cha afya?
2. Kuna mkoa hauna mradi wa maji?
3. Kuna mkoa hauna mradi wa barabara?
4. Kuna mkoa hauna mradi wa umeme vijijini?
5. Kuna mkoa haujapata mradi wa ujenzi wa shule?
6. Kuna mkoa una machinga asiyetambuliwa?
7. Kuna mkoa haujengi viwanda?
8. Kuna mkoa haujapata pembejeo za kilimo?
9. Kuna mkoa haujapata fursa ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa?
10. Kuna mkoa hauna huduma bora za fedha?
Hayo ni maswali yangu machache kati ya mengi yenye kuhoji utekelezwaji wa Ilani ya CCM.
Tukumbuke kuwa wakati miradi kadhaa ikitekelezwa basi kuna miradi mikubwa na ya kimkakati inayoshika kasi tena kwa fedha za ndani.
1. Mradi wa SGR
2. Mradi wa kufua umeme
3. Manunuzi ya ndege
4. Mradi wa Maji
5. Ujenzi wa flyovers n.k
Rais Magufuli songa mbele wanafiki wanaombea uumwe!!
1. Kuna mkoa haujajengewa hospitali au kituo cha afya?
2. Kuna mkoa hauna mradi wa maji?
3. Kuna mkoa hauna mradi wa barabara?
4. Kuna mkoa hauna mradi wa umeme vijijini?
5. Kuna mkoa haujapata mradi wa ujenzi wa shule?
6. Kuna mkoa una machinga asiyetambuliwa?
7. Kuna mkoa haujengi viwanda?
8. Kuna mkoa haujapata pembejeo za kilimo?
9. Kuna mkoa haujapata fursa ya kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa?
10. Kuna mkoa hauna huduma bora za fedha?
Hayo ni maswali yangu machache kati ya mengi yenye kuhoji utekelezwaji wa Ilani ya CCM.
Tukumbuke kuwa wakati miradi kadhaa ikitekelezwa basi kuna miradi mikubwa na ya kimkakati inayoshika kasi tena kwa fedha za ndani.
1. Mradi wa SGR
2. Mradi wa kufua umeme
3. Manunuzi ya ndege
4. Mradi wa Maji
5. Ujenzi wa flyovers n.k
Rais Magufuli songa mbele wanafiki wanaombea uumwe!!