elineema William
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 577
- 288
Unajitia mzuka unawatsha kimtindo then unasepa zkoo
Haiwez kutokeaMfano ;- wewe umempenda mwanamke ,, ukamtongoza akakubali ,, akakuambia uje nyumbani ,, ukafika kwao ukamuuliza ,, unakaa na nani '? akakujibu :- naishi na bibi ila hayupo hapa yupo hospitali kalazwa ,, mkalala kitandani ,,usiku wa manane mara mkasikia hodi ,, Binti akakuambia jifiche uvunguni ' ukajificha" akafungua mlango ,, akakuta watu wameleta maiti ya bibi yake ,, wakaja kuiweka kitandani ,, huku wewe ukiwa umejificha chini ya uvungu wa kile kitanda mpk asbh ,, ukicheki watu kibao wamejaa sebuleni mpaka nje ,, je ! utafanyaje na nguo kalalia marehemu ?
Lazima ujue kazi ya moyo hapo kama ni kusukuma damu au kupenda.
Mmamaa miaMfano ;- wewe umempenda mwanamke ,, ukamtongoza akakubali ,, akakuambia uje nyumbani ,, ukafika kwao ukamuuliza ,, unakaa na nani '? akakujibu :- naishi na bibi ila hayupo hapa yupo hospitali kalazwa ,, mkalala kitandani ,,usiku wa manane mara mkasikia hodi ,, Binti akakuambia jifiche uvunguni ' ukajificha" akafungua mlango ,, akakuta watu wameleta maiti ya bibi yake ,, wakaja kuiweka kitandani ,, huku wewe ukiwa umejificha chini ya uvungu wa kile kitanda mpk asbh ,, ukicheki watu kibao wamejaa sebuleni mpaka nje ,, je ! utafanyaje na nguo kalalia marehemu ?
Lazima ujue kazi ya moyo hapo kama ni kusukuma damu au kupenda.
Nguo kalalia nani?Mfano ;- wewe umempenda mwanamke ,, ukamtongoza akakubali ,, akakuambia uje nyumbani ,, ukafika kwao ukamuuliza ,, unakaa na nani '? akakujibu :- naishi na bibi ila hayupo hapa yupo hospitali kalazwa ,, mkalala kitandani ,,usiku wa manane mara mkasikia hodi ,, Binti akakuambia jifiche uvunguni ' ukajificha" akafungua mlango ,, akakuta watu wameleta maiti ya bibi yake ,, wakaja kuiweka kitandani ,, huku wewe ukiwa umejificha chini ya uvungu wa kile kitanda mpk asbh ,, ukicheki watu kibao wamejaa sebuleni mpaka nje ,, je ! utafanyaje na nguo kalalia marehemu ?
Lazima ujue kazi ya moyo hapo kama ni kusukuma damu au kupenda.






Hapo ndio utajua kwann muuza kahawa anatembea na chombo cha moto mjini lakin hana leseniNa maiti iko juu ya Nguo ulizokuwa umevaa




Kafikiria tu kutuchangamsha.nimejiuliza umewaza nini? you made my day.
good for usKafikiria tu kutuchangamsha.
bujibuji umewaza nini?Na maiti iko juu ya Nguo ulizokuwa umevaa
kwa nini nimeona hii post asubuhi jana nilikuwa maeneo hayo naomba uniite tena leoNi shabiki na mpenzi wa Simba ndio mwenye akili za chooni za kulala kwa raha huku akikoroma ukweni.
Madame B, Madame S, miss chagga, Miss Natafuta hebu njooni mnizunguke Leo Shabba Ranks king of dem gals nipo hapa na pesa ya kutosha.
Baada ya bia inawekwa bia a party don't stop till 10.am in da morning.
Weraweraaaaaa tunaramba maye walahi.
Uchi?Ni kujitoa tu fahamu na kujiunga na waombolezaji hivyohivyo.