Huo ni msalaba wako jitahidi uufikishe GolgothaπππNi hivi,
Ijumaa baada ya kufunga duka nlkua nna ratiba ya kwenda kwake, ghafla nikapewa taarifa MKE wangu kakimbizwa ghafla hospitali, analalamika Tumbo linaamuuma sana.
Kanipigia kuniuliza "vipi mbona ufiki"
Nikamtaarifu sitoweza kuja kwako, niko njiani naelekea hospitali, mke wangu kakimbizwa ghafla. Nashangaa ananitumia sms za kipumbavu, nikaona asije niharibia Siku, nikapata ajali barabarani, sikuzijibu sms zake.
Akasema "Sasa Ni pesa ya matumizi vipi, hamna chochote cha kupika uku? "
Nikamwambia "nenda Duka la mangi Apo jirani, akakupe vitu unavyohitaji vya kupika, nkija ntamlipa pesa yake". Baadae kanirudishia mrejesho kua kamkuta mkewe, kasema hakopeshi.
Nikamwambia, Basi tumia balance yako, nunulia vitu vyote vya kupika, utanipa hesabu Kisha ntaifidia nikija uko kwako. Kasema sawa.
Tangu juzi sijakwenda kwake wala kumpigia Simu, nmetuliza akili namuuguza wife kwanza.
Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.
Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.
HUYU MWANAMKE HANA UTU, UBINADAMU WALA USTAARABU KABISA[emoji34]
Yaani Pesa Ni zangu, nazitafuta kwa jasho langu, eti jitu from nowhere linifokee kunilazimisha nizitumie pesa zangu ili kutimiza mahitaji Yake. Aisee uyo labda sio mimi, Vinginevyo nmerogwa.
Afu Kuna watu Sijui wakoje,
Yaani wanapenda sana kujipa umuhimu mkubwa wasiokua nao kwenye maisha ya watu wengine.
Unashangaa jitu kukutanulia tu mapaja siku mbili tatu, tayari lishajipa hati miliki ya muda wako na uchumi wako,utadhani Lina hisa yoyote kwenye harakati zako.
Hizi ni Takataka kabisa,
Tena za kutupa dustbin haraka Sana[emoji34]View attachment 2838659View attachment 2838661View attachment 2838663View attachment 2838664
BRo endekeza ngono na wanawake wajinga lkn tambua hakuna tuzo ya kuto..mberπ€£π€£π€£Cheka Sana,furahi Sana, ila omba yasikukute[emoji29]
Huyo siyo mchepuko wa kawaida, atakuwa chuma ulete huyo.Leo ananiuliza hivi namchukuliaje,
Hata Salam kuulizia tu mgojwa niliemtaarifu anaumwa kapelekwa hospitali ghafla anaendeleaje, hamna.
Anachoulizia direct Ni pesa zake za matumizi nilizoahidi ntafidia baada ya kuzitumia kugharamia chakula chake mwenyewe.
Kei tamu kwani alipewa mwanamke mjinga kama huyo peke yake?Kama Hizi story zako za mchepuko ni za kweli (sio chai). Nahisi wewe ni mwanaume dhaifu mno πππππ. Kwa nini unashindwa kumuacha huyo majay? Je ni uchawi? Au ana K tamu ya moto?
Ila kiufupi wewe ni mwanaume dhaifu mno π
Mkuu DeepPond kama DeepPond karibu tena mwalimu wangu.Yaani Pesa Ni zangu, nazitafuta kwa jasho langu, eti jitu from nowhere linifokee kunilazimisha nizitumie pesa zangu ili kutimiza mahitaji Yake. Aisee uyo labda sio mimi, Vinginevyo nmerogwa.
Afu Kuna watu Sijui wakoje,
Yaani wanapenda sana kujipa umuhimu mkubwa wasiokua nao kwenye maisha ya watu wengine.
Unashangaa jitu kukutanulia tu mapaja siku mbili tatu, tayari lishajipa hati miliki ya muda wako na uchumi wako,utadhani Lina hisa yoyote kwenye harakati zako.
Hizi ni Takataka kabisa,
Tena za kutupa dustbin haraka Sana[emoji34]View attachment 2838659View attachment 2838661View attachment 2838663View attachment 2838664
Jamaa ashapigwa kitu kizito hafurukutiHuyo siyo mchepuko wa kawaida, atakuwa chuma ulete huyo.