General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,186
Kuna mchepuko mmoja anasema wazi hata akiolewa hatutaachana
Ni noumerrrrrrrr[emoji14] [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] kudadadekiii!!!!
Bampa to bampa
Ilikuwa zamani kwa sasa naacha hata kama ni mzuri vipi? Akienda tofauti na mimi nikamuelekeza naona haelekezeki mimi naanzisha safari ndiyo hanioni tena walionitesa enzi hizo wanatosha sasa ni zamu yao.Kuna michepuko pia haiachiki, ukimuacha anakomaaaa kama ccm madarakani shwaini
OkNaku!-PM then utajifunza
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Tafuna tuu kama meno bado ipo.
BAK mke si sawa na mchepuko na ndio maana kuna mchepuko na njia kuu.Inategemea nke na nke Mkuu.
Sasa mtu ambaye kashasema kuna michepuko hata ufanyaje huwezi iacha unadhani nn utamshauri akakuelewa?Natafakari kama unaweza kumwambia mmeo hivyo[emoji125] [emoji125]
Asante kwa uungwana!! Kumbadili mtazamo mtu mliyekutana na ndevu na mavooz yake ni shida.Sasa mtu ambaye kashasema kuna michepuko hata ufanyaje huwezi iacha unadhani nn utamshauri akakuelewa?
Mngh!Sasa mtu ambaye kashasema kuna michepuko hata ufanyaje huwezi iacha unadhani nn utamshauri akakuelewa?
[emoji125][emoji125][emoji125]Asante kwa uungwana!! Kumbadili mtazamo mtu mliyekutana na ndevu na mavooz yake ni shida.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
"changes come from within"Sasa mumu c useme tu ushauri wako? One drop can bring big change!
Hahaha unamwangalia tu unangoja Siku yake yatakapomkuta akaamua yeye mwenyew aacheSasa mtu ambaye kashasema kuna michepuko hata ufanyaje huwezi iacha unadhani nn utamshauri akakuelewa?