Kuna 'michepuko' huwezi kuiacha, 'never'

Kuna 'michepuko' huwezi kuiacha, 'never'

Bi dada toa mbinu aisee! Kuna mwenzio kaniteka huku!
Hahhahahhaaa,pole but kuwa busy na kaz zako, muondoe akilin mwako,sometime kuwa hats busy kwa kusoma vitambu mbali mbal ,ilimradi tu usimuwaze ,yaweza kukusaidia
 
Hahhahahhaaa,pole but kuwa busy na kaz zako, muondoe akilin mwako,sometime kuwa hats busy kwa kusoma vitambu mbali mbal ,ilimradi tu usimuwaze ,yaweza kukusaidia
Nasoma vitabu 2 kwa wiki, mazoezi karibu kila siku! Dada njoo unipe ka mbinu mbadala, hata kama hapa hapafai niandikie PM...
 
Aiseee! Kwa dhoruba za mapenzi nilizipitia Sioni mwanamke wa kusema nitashindwa kumwacha hiyo kwangu ilikuwa zamani enzi za kulilia mapenzi ila nilipojua kuwa hawa watu hawadhaminiki hata ujitoe vipi? Kwake , siku hizi akizingua tu! Naacha na sipokei cha msamaha ukisamehe tu! Anajenga mazoea.
 
Ukishakutana na game kali haya ndio matatizo yake
 
Back
Top Bottom