Kiswaswadu
Member
- Apr 24, 2019
- 24
- 58
Kuna mdogo wangu amekuja kuniuliza kuhusu kujaza kwenye 'Ajira recruirment portal' kila akiupload picha na vyeti kwenye account yake anaambiwa imezidi kb hizo file zipo kwenye mfumo wa pdf,hajajua afanyeje kila akijaribu anafeli.
Kama wadau mliojaza hizo portal ajira afanyaje kuweza kupata hizo kb sahihi zinazohitaji kweny ujazaji?Mawazo yenu ntamtumia uzi usome mwenyewe.
Kama wadau mliojaza hizo portal ajira afanyaje kuweza kupata hizo kb sahihi zinazohitaji kweny ujazaji?Mawazo yenu ntamtumia uzi usome mwenyewe.