Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,707
Reaction score
25,479
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Huo uzembe ndo hua hatuutaki, nyie ndo mnafanya wanaume tudharauliwe siku hizi
 
Yani mwanamke hata awe na umri gani kwa mwanaume atadeka tu, unless kachafuliwa na feminism, hata mama anadeka kwa mwanae wa kiume ni natural! So kama wewe sio mvulana unajua cha kufanya km the opposite sorry!

Maana wanaume siku hizi wanahesabika!
Wanaume wengine wako busy kupambana na gwajima wasifuatiliwe kama wanavaa kike! Can u imagine🫢

Acha tu mishangazi tuendelee kuitwa mabibi🤣
 
Wanaume wengine wako busy kupambana na gwajima wasifuatiliwe kama wanavaa kike! Can u imagine🫢

Acha tu mishangazi tuendelee kuitwa mabibi🤣

Inasikitisha sana kwa kweli, watu washasahau kabisa mafunzo ya kiumeni kwamba mwanaume sio sura mwanaume ni responsibilities na unavyozipapatua (kizenj 😛 )
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Huyo mama ni pedophile au bas
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Yaani wewe ni lijinga promax!! opportunity never come twice, kula huo mzigo hacha uboya wewe!
 
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.

Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf.

Issue nzima iko hivi: Kuna mwanamke ana miaka 43. Tulikutana katika mazingira fulani, yeye ndiye alianza kuonyesha interest na mimi.

Baada ya muda tukajikuta tumeanza kuwa karibu kimahusiano. Kiukweli ana mvuto mkubwa sana. Ana mtoto mmoja wa miaka 10 na baba wa mtoto yuko Marekani.

Sasa naona huyu mtu anakuja kwa kasi sana, na mimi suala la tofauti ya umri naona kama halijakaa vizuri kitaalamu sana.

Wakuu mnanishaurije, niweke kambi hapa au niamshe majeshi?
Lakini siku hizi yetu mnamchukulia kama matako yenu tu si ndio?

Utasalimie kwa jina Takatifu la yesu kisa uletwe habar za uzinzi hapa kweli
 
Back
Top Bottom