Kuna mambo najikuta hayako kichwani Mwangu kama hili la MWAKA MPYA

TOHATO

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
1,170
3,775
Naamini sio mimi tuu ila tuko wengi juu ha hili.

Akili mwangu nimeshindwa kuweka nadharia ya sherehe nyingi kwa kuwa nazo ki muhemko kama navyoona kwa wengine.

Sherehe kama ya kuzaliwa au hii ya mwaka mpya naona kawaida sana.

Sina maana kuwa sina siku za fraha kwangu ,hapana, ila ziko siku zangu nazo ona zina usheree au muda waku ya frahiya maisha tofauti na hizi nyingi zilizopangwa.. Naeza kusema siku hizo huwa zinakuja zenyewe tuu bila kupangwa.

Na kinachonifrahisha sikwaziki na wanaofrahiya hizi ambazo zimepangwa .

Yaan mambo ya sijui Kukesha,sijui kujipangia mipango ya mwaka mpya,sijui ya kuombea mwaka. Daah naona cha jana ndo cha leo na kesho, na ni mabadiliko ya namba ambazo ni nadharia ya Muda.

Siwezi panga ya kuanza mwaka Mpya huku kuna zuri nloanzisha jana ambayo itakuwa ni mwaka jana kwa kesho yake.
 
Basi we jamaa utakuwa na dunia ya peke yako ambayo iko very serious kwa kila jambo
Dunia ni Hii hii sema kila mtu na mtazamo wake ila mtazamo wa wengine usikure fanya unalo on kwako ni sahihi. ninafraha njee ya hili wengi wanaloona ni fraha kwao
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wewe kama sio Msabato utakuwa Shahidi wa Yohava maana ndio wanao complicate maisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa ndo tunapofeli wengi.

Hivi unajua Korea au uarabuni au baadhi ya sehem nyingi hawana hii unayo ona wewe ni MWAKA MPYA?
au nikuulize swali kipi kimekuaminisha siku yaanza sa sita? Anyway kuna mengi sana nyuma ya pazia yanayo endeshwa na wengi alafu sisi ni wafata mkumbo tuu.
nitabaki kusema jana ndo kesho ans ndo leo. na swala la muda ni nadharia ambayo iko kichwani tuu
 
Mkuu labda tuna ugonjwa unaofanana,kuna vitu serious katika maisha halafu huwa havileti furaha amabayo naiona kwa wengine. Naona Kawaida tu!

Nilipofaulu msingi -nilifurahi
Kidato Cha nne nilona Kawaida
Kidato Cha sita- Kawaida
Nilipograduate- nilivaa joho tu!
Nilipopata kazi - niliona Kawaida
Siku kuu zote- naona Kama siku nyingine.

Vitu Vingi naona kawaida!
 
Huna hela narudia tena kusema huna hela...


yaaani huna hela na naamini huna ajira, unasumbuliwa na tatizo la kisaikolojia...
Kutokuwa na hela na kuwa na hela wapi na wapi na mwaka mpya?

Sema uzuri JF wote tuna kasumba ya kujiona TUNA MAISHA MAZURI NA KAZI NZURI AU WENYE ELIMU YA JUU.
Ila mimi nimeseme naloliona juu yangu
 
Hongera comment yako imeshinda kuwa comment pumba/Utumbo ya kufungia mwaka.

Yaani kupanga mipango ya mwaka utoto INTERNATIONAL PUMBA


Sent using Jamii Forums mobile app

MAISHA Ni kupanga na kuchagua . Tunatofautiana sana kimitizamo alafu kutofautiana kwetu ndo kunafanya mrtu flani kufaidika au kutofaidika.



ILA MAISHA NI KILE UNACHOKUMBANA NACHO MUDA HUO . Ndo maana tutapanga mengi ila fila feli na fingine kukubali.
 
Naamini sio mimi tuu ila tuko wengi juu ha hili.

Akili mwangu nimeshindwa kuweka nadharia ya sherehe nyingi kwa kuwa nazo ki muhemko kama navyoona kwa wengine.

Sherehe kama ya kuzaliwa au hii ya mwaka mpya naona kawaida sana.

Sina maana kuwa sina siku za fraha kwangu ,hapana, ila ziko siku zangu nazo ona zina usheree au muda waku ya frahiya maisha tofauti na hizi nyingi zilizopangwa.. Naeza kusema siku hizo huwa zinakuja zenyewe tuu bila kupangwa.

Na kinachonifrahisha sikwaziki na wanaofrahiya hizi ambazo zimepangwa .

Yaan mambo ya sijui Kukesha,sijui kujipangia mipango ya mwaka mpya,sijui ya kuombea mwaka. Daah naona cha jana ndo cha leo na kesho, na ni mabadiliko ya namba ambazo ni nadharia ya Muda.

Siwezi panga ya kuanza mwaka Mpya huku kuna zuri nloanzisha jana ambayo itakuwa ni mwaka jana kwa kesho yake.
Hongera kama una SIKU ZAKO .....
 
Hakuna matukio ninayoonaga ya kifala kama kufanya birthday,yan nikimkuta mtu/watu wanasherehkea birthday ya flani yan kuanzia pale huwa napata picha ya kiwango cha akili walichonacho na kuwadharau kabisa. Tafiti zinaonyesha kuwa mhusika hakuna furaha yoyote anayoipata kutoka moyoni zaidi ya kucopy copy mambo ya kizungu.......FURAHA HUJA YENYEWE SIKU YOYOTE,MAHALI POPOTE TUACHENI UJINGA.
 
Lini msabato ulimuona anakomplicate life mpaka kweny mwaka mpya, achen akili za design hiyo

Uko wap, af ungeweka picha ya betri tuone muundo wake ila kwa Nikon nyingi tafuta betri za Sony. Mwanza box la betri 12 linauzwa elfu 15. Nahisi wewe umeweka vile vibetri vya jero vya kwenye redio

Sent using Jamii Forums mobile app
Niko mkoa jiran na mwanza mkuu
Wewe kama sio Msabato utakuwa Shahidi wa Yohava maana ndio wanao complicate maisha

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokuwa na hela na kuwa na hela wapi na wapi na mwaka mpya?

Sema uzuri JF wote tuna kasumba ya kujiona TUNA MAISHA MAZURI NA KAZI NZURI AU WENYE ELIMU YA JUU.
Ila mimi nimeseme naloliona juu yangu
Huna hela babu, acha mambo yako.. Yaani unatafuta maskini wenzako mjifariji kwenye hoja ya kijinga...

Ukiwa na hela automatic lazma sherehe/sikukuu zote uzichukulie kwa uzito, huna hela lazma ujifariji kwenye huu uchochoro..

Tafuta hela babu sikukuu zote utaziona ni nzuri tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna hela babu, acha mambo yako.. Yaani unatafuta maskini wenzako mjifariji kwenye hoja ya kijinga...

Ukiwa na hela automatic lazma sherehe/sikukuu zote uzichukulie kwa uzito, huna hela lazma ujifariji kwenye huu uchochoro..

Tafuta hela babu sikukuu zote utaziona ni nzuri tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa utakua umekulia kwenye umasikini sana.. Mi binafsi mtu anaeona hela ndio kila kitu huna namdharau sana naona kama alikua "deprived" sana wakati anakua. Mi binafsi niko sawa na mtoa mada kila kitu naona kawaida tu mpk jamaa zangu hua wananishangaa, sijawah kufanya kitu eti kisa kila mtu anafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom