kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Pole sana, mimi huwa nalia sana nikiwa mwenyewe hadi uchungu uishe
Sahihi kabisaOmba msamaha, hakikisha unaonyesha ni wapi hasa ulikosea na sio kuzunguka zunguka kisha mpe muda afikirie mwenyewe kama atakusamehe au la sio kumshinikiza kila muda "umenisamehe"
bas ucjikombe sana kwake, ludisha mpira kwa kipa.Asante, yote yamefanyika.
Usijari dear, hope kila kitu kitakua sawaaPole mamie, I hope baba amekusamehe; na mimi niko kwenye situation kama hiyo.
Nimefanya kitu nikiwa nimekwazika, nikafikiria siyo big deal, kumbe mwenzangu imemuumiza sana kwa sababu alifikiri amenipoteza.
Najisikia hatia, nimeshakiri kosa na kumuomba msamaha, ila kasema anahitaji muda atulie kwanza.
mimi naishi na sensi ya sita, so nasoma ramani.Umeshawahi kufanya kosa na ukajishtukia mwenyewe kwamba hapa ulizingua?
hii ya kuumiza sijajua ni juu ya yapi haswa, ila najua kuminya na kuzidi kusoma ramani usaidiaUlideal vipi na hiyo hisia ya kuwa mkosaji na nafsi kukusuta baada ya kujua umemuumiza mtu unayempenda?
kama mimi naweza samehe na nisisahau, sitegemei mwenza atasahau. Muhimu ni kujua jinsi ya kuishi na kutokumbushia ni kuzika. nalo hili linategemea unataka ushauri haswa juu ya nini.Mwisho kabisa, ulifanya nini mpaka uliyemkosea akakusamehe na akasahau ule ubaya?
Najisikia hatia, nimeshakiri kosa na kumuomba msamaha, ila kasema anahitaji muda atulie kwanza.
Weee kuweza!????
Maji yamesha mwagikia, hayazoleki...Weee kuweza!????