Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

Hebu nipeni busara maana kwa sasa nimeishiwa 💔💔

Cc:
cocochanel , min -me , Manyanza , bonjov , secretarybird , Lamomy , waifu material , cocastic
1.KUBALI KUWA MKE MWENZA.
Ruthlessness Madume yote ndivyo yalivyo,hayawezi kufanya compromise ya kutwezwa udume wao,lazima yata take action kurudisha heshima yao!kama ulizingua kubali matokeo ya uzinguaji wako!
2.PELEKA KITUMBUA KIKALIWE KWA STYLE YA KIBABE!

Ili kupoza machungu yake hebu mpelekee site ale Hadi ahisi hasira zimeisha!!ukubali style za kibabe sana ambazo hujawahi ziona toka kwake!!

3.MWELEZE UKWELI UNAVYOJISIKIA BAADA YA KUMKOSEA,MTAZAME USONI!

Kama unaweza Fanya hivyo anaweza ona aibu yeye na kukosa ujasiri zaidi na akakusamehe kabisa na kuona kwamba alichukua hatua Kali sana kuliko kosa lenyewe!!

4.MWAMBIE,MTOKE OUT.

Masotojo,vinywaji na faragha huleta Hali ya kuachilia vinyongo!!

Wanawake wengi wanaumizwa na roho ya mashindano baada ya kufikia utoshelevu fulani Toka Kwa waume zao!!

Nimejaribu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom