Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,019
- 16,451
Timu imekua na usajili wa hovyo sana, wacheza wanaosajiliwa wengi ni free agent, nina mashaka kama ni pendekezo la kocha. Sijui kama kuna kitengo cha scouting kinafanya kazi yake vizuri.
Hapa ndipo ninapomkumbuka marehemu Zakaria Hans Poppe ni kama simba mzigo (pesa) hakuna.
Siku hizi wanachezesha kamari ya shabiki bingwa muda sio mrefu ukweli utajulikana.
Hapa ndipo ninapomkumbuka marehemu Zakaria Hans Poppe ni kama simba mzigo (pesa) hakuna.
Siku hizi wanachezesha kamari ya shabiki bingwa muda sio mrefu ukweli utajulikana.