Kuna kitu hakipo sawa hapa Dar

Kuna kitu hakipo sawa hapa Dar

Tunashukuru bamjoli
Lodge iko maeneo gani? na inaitwaje?
 
Huduma ? Huenda wewe ndio una mawazo potofu labda huduma ya kuletewa kinywaji chumbani..., In short hapo hakuna ushahidi kama huduma aliyosema ndio unayodhani...

Hata kama aliendelea kuelezea huduma nyingine huenda alikuwa kwenye kufanya research ya wageni wapenda huduma...., na ungekubali angekupiga neno la Kiimani
 
Huduma ? Huenda wewe ndio una mawazo potofu labda huduma ya kuletewa kinywaji chumbani..., In short hapo hakuna ushahidi kama huduma aliyosema ndio unayodhani...

Hata kama aliendelea kuelezea huduma nyingine huenda alikuwa kwenye kufanya research ya wageni wapenda huduma...., na ungekubali angekupiga neno la Kiimani
Hapo kwenye neno la kiimani binafsi tungekosana
 
Hadi sasa jina la hio lodge halijatajwa tu!?
Mleta mada mbona unakua mzito sana
 
toa jina la lodge ili usalama wa taifa ulifatilie hilo suala lako
 
Wanazuoni mu hali gani? Kuna kitu naona kama hakipo sawa hapa Dar, kuna siku nilikwenda lodge fulani kati kati ya jiji, nilikuwa nataka kupumzika kwani nilikuwa na uchovu.

Ila nilipokamilisha taratibu na kukabidhiwa chumba, nikiwa nimepumzika chumbani, nikasikia hodi ikipigwa, nikafungua ila nikakutana na msichana(ni mrembo kiasi mwenye kalio kubwa mweusi), akaniuliza kama nitahitaji huduma.

Kiukweli nilishangaa kwani ile ni lodge, nikajiuliza kumbe mambo ndio haya yanayofanyika humu kwenye lodges hapa mjini? Kwa nini mameneja msiweke wazi sasa kuliko kufanya siri?

Niwe mkweli nilivutiwa naye ila niliogopa kwani sikuzoea hali hii, pia nilishangaa lodges kuwa machimbo ya hawa sex workers, ndipo tulipofikia.!!!!
Zee korofi,hukumvutia ndani kweli?
 
Wanazuoni mu hali gani? Kuna kitu naona kama hakipo sawa hapa Dar, kuna siku nilikwenda lodge fulani kati kati ya jiji, nilikuwa nataka kupumzika kwani nilikuwa na uchovu.

Ila nilipokamilisha taratibu na kukabidhiwa chumba, nikiwa nimepumzika chumbani, nikasikia hodi ikipigwa, nikafungua ila nikakutana na msichana(ni mrembo kiasi mwenye kalio kubwa mweusi), akaniuliza kama nitahitaji huduma.

Kiukweli nilishangaa kwani ile ni lodge, nikajiuliza kumbe mambo ndio haya yanayofanyika humu kwenye lodges hapa mjini? Kwa nini mameneja msiweke wazi sasa kuliko kufanya siri?

Niwe mkweli nilivutiwa naye ila niliogopa kwani sikuzoea hali hii, pia nilishangaa lodges kuwa machimbo ya hawa sex workers, ndipo tulipofikia.!!!!
Kama siyo umbea, haya toa jina la lodge hiyo.
 
Wanazuoni mu hali gani? Kuna kitu naona kama hakipo sawa hapa Dar, kuna siku nilikwenda lodge fulani kati kati ya jiji, nilikuwa nataka kupumzika kwani nilikuwa na uchovu.

Ila nilipokamilisha taratibu na kukabidhiwa chumba, nikiwa nimepumzika chumbani, nikasikia hodi ikipigwa, nikafungua ila nikakutana na msichana(ni mrembo kiasi mwenye kalio kubwa mweusi), akaniuliza kama nitahitaji huduma.

Kiukweli nilishangaa kwani ile ni lodge, nikajiuliza kumbe mambo ndio haya yanayofanyika humu kwenye lodges hapa mjini? Kwa nini mameneja msiweke wazi sasa kuliko kufanya siri?

Niwe mkweli nilivutiwa naye ila niliogopa kwani sikuzoea hali hii, pia nilishangaa lodges kuwa machimbo ya hawa sex workers, ndipo tulipofikia.!!!!
Mama anaupiga mwingi kaka

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom