Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 4,699
- 6,862
Kuna ID ya mwanachuo wa TUMAINI UNIVERSITY, nimekiona somewhere... Sijui namna za kumpata nimpe... ....au atakitengeneza kingine....
SAMIA ANATOSHA HADI 2040.
SAMIA ANATOSHA HADI 2040.
hivi mkuu hapa nchini tushawai pata kesi maarufu ya sakata kama hilo? --- nafahamu katika ngazi ya kimtaa mtaa jambo hilo huwa linazungumzwa namna hiyoMhm kuokota vitu kama hivyo mda mwingine ni hatari kwa muokotaji endepo mwenye I'd atakua kahusika kwenye uhalifu🤔
upo timamu mkuu?Samia aongoze tu mpaka umauti wake kisha Mwanu arithi kiti.
Tumechoka rushwa na uhuni wa viongozi kutoka bara
This is low broMhm kuokota vitu kama hivyo mda mwingine ni hatari kwa muokotaji endepo mwenye I'd atakua kahusika kwenye uhalifu🤔
Sasa Samia afanye uhalifu gani mwanamke 😁Mhm kuokota vitu kama hivyo mda mwingine ni hatari kwa muokotaji endepo mwenye I'd atakua kahusika kwenye uhalifu🤔
Sijajua mkuu ,ila uwezekano wa kusumbuliwa na police mpaka uchunguzi ukamilike upo mkubwahivi mkuu hapa nchini tushawai pata kesi maarufu ya sakata kama hilo? --- nafahamu katika ngazi ya kimtaa mtaa jambo hilo huwa linazungumzwa namna hiyo
kama tushawai pata kesi kubwa ya namna hiyo mahakama au mamlaka ziliongeleaje suala zima la vitambulisho kuandikwa "if found please return to above/below address"
Ujumbe wako unahusiana vipi na mada tajwa hapo juuSamia aongoze tu mpaka umauti wake kisha Mwanu arithi kiti.
Tumechoka rushwa na uhuni wa viongozi kutoka bara
OkThis is low bro
SAMIA ANATOSHA HADI 2040Kuna ID ya mwanachuo wa TUMAINI UNIVERSITY, nimekiona somewhere... Sijui namna za kumpata nimpe... ....au atakitengeneza kingine....
SAMIA ANATOSHA HADI 2040.
Soma vizuri sentensi niliyo iandika na uelewe.Sasa Samia afanye uhalifu gani mwanamke 😁
Sasa Nimeelewa.Soma vizuri sentensi niliyo iandika na uelewe.
Yeye mwenyewe anajua huyo samia anamtosheleza vipi mkuuSasa Nimeelewa.
Nakweli, nilisoma bila kudadavuaYeye mwenyewe anajua huyo samia anamtosheleza vipi mkuu
Kweli mkuu! NimekiachaMhm kuokota vitu kama hivyo mda mwingine ni hatari kwa muokotaji endepo mwenye I'd atakua kahusika kwenye uhalifu🤔
Kwa muokotaji?kweli kibongo bongo ni hatari tu! Usikute wezi walivamia nyumba wakaiba then kitambulisho wakaenda kukitupaSijajua mkuu ,ila uwezekano wa kusumbuliwa na police mpaka uchunguzi ukamilike upo mkubwa
Kuna mpwa wangu kapata ajira kwenye utawala wa awamu ya sita.... kipindi chote cha jiwe siunajua akuajiri Wala kufanya increment ya mishahara kwa watumishi! So mama anatosha tumpe tu kumi mingine Tanzania iwe kama CanadaYeye mwenyewe anajua huyo samia anamtosheleza vipi mkuu