kuna kipi unajivunia?

kuna kipi unajivunia?

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
tukiwa ukingoni mwa mwaka 2014. ni mengi yametokea na umekutana na watu tofauti ndani ya jf. je umejifunza kitu gani/ kuna nini unaweza kujivunia kwa wewe kuwa mmojawapo kati ya wanajamii forums. nani unadhani anaweza kuwa bora katika mawazo,.ushauri na hata maoni aliyokuwa anachangia.

nini mtazamo wako juu ya jf kwa siku za usoni.

nawatakieni maandalizi mema ya kumaliza mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015
 
najivunia kutengeneza marafiki wengi kabisa hapa .....
 
najivunia kupata marafiki na rafiki yangu shoga angu mpenzi Mafikizolo wee ni zaidi ya best friend kwangu me penda sana ww
 
Last edited by a moderator:
najivunia kupata marafiki na rafiki yangu shoga angu mpenzi Mafikizolo wee ni zaidi ya best friend kwangu me penda sana ww

Thank you my dear your more than a friend to me,and am proud to be your best friend
 
Last edited by a moderator:
Najivunia kujifunza vitu mbali mbali humu jf nimeelimika na bado nazid kuelimika
 
Back
Top Bottom