Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,417
aka dogo magenge???
dogo umenijulia wapi??
Ntakupiga risasi ohoooooooooooooooo
aka dogo magenge???
ningependa jpm achanganye mawazir kutoka kila chama.
ningependa jpm achanganye mawazir kutoka kila chama.
Ili uwe waziri unapaswa kuwa mbunge...akiteuliwa hawezi kuwa mbunge mpaka akiapishwa bungeni mkutano ujao unless wafanye uvunjaji wa sheria kama alivyofanya JK...kuwaapisha uwaziri kina Mkuya kabla ya kuapa ubunge
Mkuu,Ndugu wana JF
Prof. Lipumba ni mmoja wa wamchumi nguli waliowahi kutokea nchini. Huyu bwana mbali tuu na kujivua uenyekiti wa chama chake cha CUF katika kipindi ambacho walikuwa wanamhitaji sana, lakini yeye amemkubali Rais JPM kuwa rais halali tofauti na msimamo wa chama chake ambacho kinaunda UKAWA.
Lakini hivi juzi alienda mbali mpaka kwenda Ikulu kumpongeza rais JPM. Kana kwamba haitoshi, mahakama imemfutia kesi yake na wafuasi wote alioshitakiwa nao kisa eti DPP kaamua kutoendelea na hiyo kesi. Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza???
Lakini vilevile Lipumba mara nyingi amekuwa na maoni chanya Kwa rais na CCM hali yeye mpinzani. Na yeye anajinasibu kuwa anapinga ufisadi na kitendo cha lowasa kwenda ukawa ni sawa na kumkaribisha fisadi.
Na JPM anasema hana ubia na mtu yeyote kwenye urais wake na kuna kila dalili za mawaziri kibao wa serikali iliyopita kupigwa chini kutokana na sifa ya utendaji mbaya. JPM haishiwi surprise na kutekeleza kile anachokiamini. Sasa je hizi si dalili za Prof Lipumba kuukwaa ubunge wa kuteuliwa na baadaye uwaziri wa serikali ya JPM???
Ni mtizamo wangu tuu
umedanganywa na nini ? lipumba yuko cuf ?Lipumba yupo CUF, kwahiyo hawezi kuwa waziri.
Fedha za Iramba au nyumbani kwako na mkeo?mwigulu ndie waziri wa fedha
Lipumba huyu huyu aliyekua anahamasisha waislamu misikitini!!
Lipumba ni mchumia tumbo hafai kabisaaaaaa
Hana uzalendo wowote kwa taifa, yuko radhi kuhamasisha machafuko kwa tamaa yake ya madaraka, Lipumba hafai hata kwa kulumangia
Nakubaliana na hoja.Hata mimi nina amini kuwa Lipumba atapewa kazi hata kama siyo hiyo ya Ubunge na hatimaye Uwaziri.Ukiacha tofauti zetu za kichama Lipumba ni mbobezi wa Uchumi.Nawasilisha.
Wala hatuhitaji wasomi wa design ya Prof nchi hii. Hao wasomi ndio waliopo TRA, MNH, TRL, TPA nk... Ndio wanaotupiga dili kila siku.
Prof alipokuwa Mkiti CUF haikuwahi kupata wabunge wengi Bara mpaka alivyoondoka mwaka huu ndio angalau CUF wameng'ara. Sasa kuendelea kumuamini Huyu msomi ni sawa na kusubiria muujiza.
umedanganywa na nini ? lipumba yuko cuf ?