Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,187
- 17,608
Mkuu up0???Kuna bidada flani huwa akipata mshtuko, lazipa apate some drops kwenye kaptula ndogo.....![]()
![]()
![]()
Mkuu up0???Kuna bidada flani huwa akipata mshtuko, lazipa apate some drops kwenye kaptula ndogo.....![]()
![]()
![]()
umeona neno polisi tu dishi likacheza.Diamond anagombana na Hamisa matunzo ya mtoto. Uzinzi mbaya. Enyi wanaume msikubali kila mtoto awe na mama yake.
Nilikua barabarani tu na wao ndo wakapita na ving'ora vya kutosha na msafara wao.Weka mbali na watoto....
Hapo soln ni kujali kazi yako tu, kapige kazi na potezea yanayoendelea. Hiyo huwa ni alert kuwa wamepewa maagizo ya kumshughurikia vilivyo atakayeingilia shughuri ya kimahakama au kuwagusa targets wao!!!
Hiyo hali inaharibu sana mood kwa sisi tusiozoea hivyo vitu basi tu.Kuna siku nafanya zangu utalii Unguja najivinjari na upepo mwanana wa marashi ya karafuu mara ghafla bin vuu naona migari ya jeshi na vifaru imepakia wajeshi wamevaa mijitambaa myekundu na bendera nyekundu kwenye vifaru, walinivurugia siku yangu sana.
Ningeanza kipindi kabisa au nizimie. Hata movie za action siangaliagi kwa sababu sipendi kuona mapambano.Sie tuliotembela somalia ivo vitu vya kawaida sana.sasa shosti unaharibikiwa siku kwa kuwaona tu je ungeshuhudia majibizano ya risasi laivu bila chenga si ungejikojolea.hebu jitahidi kuwa mkakamavu wa roho.
Ngachokaga pale wanapopeleka mahabusu mahakamani kwa mikwara alafu kufika mbele ya jaji, jaji anasema mtuhumiwa hana hatia na kuanzia sasa yuko huru!
Mtuhumiwa huyoo anatoka na kwenda kupanda boda boda huku akiwaacha askari magereza hawaamini.







inakua aibu kweliThe walking armouryUoga wenu tu, mwisho wa yote hayo ni kifo. Acha kuogopa ujinga, eti mtu kashika siraha basi wewe unajaa hofu. Hapana sio haki, nyie ndio mnakuwa mko tayari kuongea uongo, ili kuondokana na kadhia lilombele yako. Mjitahidi mtafute exposure kwenye nchi nyingine, hata Gabs tu. Askari kule wako wa aina 4 ondoa magereza na uhamiaji. Kila uwaonapo wako fullmasnondo. Bunduki moja SMG, au AK 47, Pistol 4, zote hazichukui chini ya risasi 20, zinapiga hadi km 1, amevaa bullet proof, hadi viatu, ana magazine 4 za emergency, ana bomu la kutupa kwa mkono, la kuwasha na machozi, ana gillnet 2, wewe akishuka ghafla kama wewe lazima uanguke tu. Hapo sijakupeleke kwa Cyril Ramaposa!! Utakimbia wewe. Unawashangaa hawa hata viatu mbele havina visu, uniform zimechakaa, njaa inamuuma yupo kwenye lindo, ajalipwa stahiki zake miaka 4, anakaa kwenye jengo la bati!!!