Kuna kesi gani kubwa leo Kisutu?

Kuna kesi gani kubwa leo Kisutu?

Weka mbali na watoto....
Hapo soln ni kujali kazi yako tu, kapige kazi na potezea yanayoendelea. Hiyo huwa ni alert kuwa wamepewa maagizo ya kumshughurikia vilivyo atakayeingilia shughuri ya kimahakama au kuwagusa targets wao!!!
Nilikua barabarani tu na wao ndo wakapita na ving'ora vya kutosha na msafara wao.
 
Kuna siku nafanya zangu utalii Unguja najivinjari na upepo mwanana wa marashi ya karafuu mara ghafla bin vuu naona migari ya jeshi na vifaru imepakia wajeshi wamevaa mijitambaa myekundu na bendera nyekundu kwenye vifaru, walinivurugia siku yangu sana.
Hiyo hali inaharibu sana mood kwa sisi tusiozoea hivyo vitu basi tu.
 
Sie tuliotembela somalia ivo vitu vya kawaida sana.sasa shosti unaharibikiwa siku kwa kuwaona tu je ungeshuhudia majibizano ya risasi laivu bila chenga si ungejikojolea.hebu jitahidi kuwa mkakamavu wa roho.
Ningeanza kipindi kabisa au nizimie. Hata movie za action siangaliagi kwa sababu sipendi kuona mapambano.
 
Hao poliCCM ni kama umbwa, wao hutekeleza jambo lolote wanaloelekezwa na mfugaji wao hata kama halina manufaa yoyote. Wanafanya kazi kitutusa zaidi ghairi ya weledi.
 
Ngachokaga pale wanapopeleka mahabusu mahakamani kwa mikwara alafu kufika mbele ya jaji, jaji anasema mtuhumiwa hana hatia na kuanzia sasa yuko huru!
Mtuhumiwa huyoo anatoka na kwenda kupanda boda boda huku akiwaacha askari magereza hawaamini.
inakua aibu kweli
 
MipoliCCM imetunisha mimacho kama mivuta bange na kuwatisha raia wasiokuwa na hatia. Hii mijitu ni ya ovyo sana I see.
 
Ninyi ndio chanzo cha ujinga uliopo hapo bongo wanakutisha nini ??? Wanakula watu ?? Unaogopa kufa kwani hutakufa???

Jiamini wewe acha uboya
Ananitisha mende itakua askari. Mkuu kila mtu anauoga wake. Mimi naogopa silaha.
 
Unajua hawa polisi wanataka kutufanya tuishi kwa hofu sana kwenye nchi yetu pendwa Tanzania sijui kwann?
Kweli wanajenga hofu. Mi polisi mwenye silaha hata akiniambia nivue nguo hadharani naweza nikavua.
 
Uoga wenu tu, mwisho wa yote hayo ni kifo. Acha kuogopa ujinga, eti mtu kashika siraha basi wewe unajaa hofu. Hapana sio haki, nyie ndio mnakuwa mko tayari kuongea uongo, ili kuondokana na kadhia lilombele yako. Mjitahidi mtafute exposure kwenye nchi nyingine, hata Gabs tu. Askari kule wako wa aina 4 ondoa magereza na uhamiaji. Kila uwaonapo wako fullmasnondo. Bunduki moja SMG, au AK 47, Pistol 4, zote hazichukui chini ya risasi 20, zinapiga hadi km 1, amevaa bullet proof, hadi viatu, ana magazine 4 za emergency, ana bomu la kutupa kwa mkono, la kuwasha na machozi, ana gillnet 2, wewe akishuka ghafla kama wewe lazima uanguke tu. Hapo sijakupeleke kwa Cyril Ramaposa!! Utakimbia wewe. Unawashangaa hawa hata viatu mbele havina visu, uniform zimechakaa, njaa inamuuma yupo kwenye lindo, ajalipwa stahiki zake miaka 4, anakaa kwenye jengo la bati!!!
The walking armoury
 
Back
Top Bottom