Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,039
- 134,307
bidada mbona kila comment unajibu, tulia basi kidogo na sisi tukomentSilaha na ninja. Akili yangu inanituma wanavaaga hivyo majambazi au sehemu pasipo na amani/vita.
bidada mbona kila comment unajibu, tulia basi kidogo na sisi tukomentSilaha na ninja. Akili yangu inanituma wanavaaga hivyo majambazi au sehemu pasipo na amani/vita.
POLE sana, pengine ndio ume bahatika kukutana nao kwa mara ya kwanza, lakini hiyo ni kawaida sana kwa hiyo barabara ya Nyerere road..,Ya leo imezidi. Gari 8 sijui kumi halafu na ving'ora. Walikua wanaonekana kama zile nchi zenye vita askari wakiwa wanafanya doria wanavyokua.
Wewe nawe bhana, sio kila kiu nichakuongea hadharani, ulitakiwa unifuate huku uani ndio unambie peke yangu. Uje huku uaniNalala mwenyewe bwana. Ningekua nalala na shemeji yako labda ninhekua sioti ndoto za ajabu ajabu.
Hiyo hali inaharibu sana mood kwa sisi tusiozoea hivyo vitu basi tu.
Kwa usalama wako ukiwaona hao jamaa wameshika silaha muhimu ni kuangalia uelekeo wakoYani nahisi hata mtu angekatiza kwenye ule msafara wao wangemmiminia risasi za kutosha. Sasa ndo niwasimamaishe wee. Nahisi walibeba magaidi sijui.