Kuna kesi gani kubwa leo Kisutu?

Kuna kesi gani kubwa leo Kisutu?

Ngachokaga pale wanapopeleka mahabusu mahakamani kwa mikwara alafu kufika mbele ya jaji, jaji anasema mtuhumiwa hana hatia na kuanzia sasa yuko huru!
Mtuhumiwa huyoo anatoka na kwenda kupanda boda boda huku akiwaacha askari magereza hawaamini.
 
Umepita msafara wa magari kama nane ya polis na katikati kuna gari ya magareza wanaelekea kama Kisutu. Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo? Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.

Ninyi ndio chanzo cha ujinga uliopo hapo bongo wanakutisha nini ??? Wanakula watu ?? Unaogopa kufa kwani hutakufa???

Jiamini wewe acha uboya
 
Umepita msafara wa magari kama nane ya polis na katikati kuna gari ya magareza wanaelekea kama Kisutu. Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo? Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.

Wale mashekhe wa uamusho na kesi yao, hua wanapelekwa hivyo kwa pirato utazani magaidi wa kimataifa
 
Umepita msafara wa magari kama nane ya polis na katikati kuna gari ya magareza wanaelekea kama Kisutu. Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo? Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.
Sasa hapo kinachokutisha ni silaha au kuvaa ninja?
 
Umepita msafara wa magari kama nane ya polis na katikati kuna gari ya magareza wanaelekea kama Kisutu. Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo? Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.
Njoo inbox nikuzoweshe kila aina za silaha za infantry ili upunguwe uoga.
Cc: Mshana Jr.
 
Uoga wenu tu, mwisho wa yote hayo ni kifo. Acha kuogopa ujinga, eti mtu kashika siraha basi wewe unajaa hofu. Hapana sio haki, nyie ndio mnakuwa mko tayari kuongea uongo, ili kuondokana na kadhia lilombele yako. Mjitahidi mtafute exposure kwenye nchi nyingine, hata Gabs tu. Askari kule wako wa aina 4 ondoa magereza na uhamiaji. Kila uwaonapo wako fullmasnondo. Bunduki moja SMG, au AK 47, Pistol 4, zote hazichukui chini ya risasi 20, zinapiga hadi km 1, amevaa bullet proof, hadi viatu, ana magazine 4 za emergency, ana bomu la kutupa kwa mkono, la kuwasha na machozi, ana gillnet 2, wewe akishuka ghafla kama wewe lazima uanguke tu. Hapo sijakupeleke kwa Cyril Ramaposa!! Utakimbia wewe. Unawashangaa hawa hata viatu mbele havina visu, uniform zimechakaa, njaa inamuuma yupo kwenye lindo, ajalipwa stahiki zake miaka 4, anakaa kwenye jengo la bati!!!
 
Ninyi ndio chanzo cha ujinga uliopo hapo bongo wanakutisha nini ??? Wanakula watu ?? Unaogopa kufa kwani hutakufa???

Jiamini wewe acha uboya
Hili neno ulilomalizia sio la kiungwana mkuu maana kila mtu kaumbwa tofauti au hujui kama hawa wadada unaweza kulala nae kitandani kwako pindi utakapo mwekea jongoo kitandani kwake?
 
Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo?



Labda uvaaji nao unaadd value ya kazi na unaongeza ujasiri!!
 
Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano.
Wanavaa hivyo ili kupiga selfie ila kwenye mtiti Polisi wetu ni laini saaaana, trust me ni laini saaaana. Siku tukiamua kuliamsha Polisi wote watakimbia, sema tumebarikiwa kuwa waoga.....hatuna tofauti na nyumbu.
 
Back
Top Bottom