Utaambiwa kirusi kipya cha "covido" tunaomba mkopo IMF ili kupambana na mlipuko!
Kiroboto alikuwa anamtukuza Godfather wake mpaka basi.Kwani kiroboto si alikitaka kiishi kwa adabu? Au huku ndiko kukizowea sasa?
Hata mimi! Mafua ni makali sana halafu na joto lipo juuNilidhani niko peke yangu
Lini palikuwa hakuna mafua Dar es salaam?Hivi mmeliona hilo?Kuna hali fulani kama mlipuko wa homa na mafuta kila mahali katika jiji la Dar es Sallam
Joto Kali Sana.Hata mimi! Mafua ni makali sana halafu na joto lipo juu
Hii ni taarifa kama taarifa nyingine , kama kuna mlipuko ndo tujueIla watu wa daslamu kwa kudeka Chaeeeeei!!
Kwahiyo mnaitana mfarijiane ?