madevu siyo ukubwa..... ila kujenga bifu kitu kinauma kukataliwa we acha kabisa .....
unakuta mwanaume mwenye mindevu yake tena anajenga bifu na mshikaji kisa mwanamke..... hivi hii ni akili au tope kama umetongoza ukakataliwa mwenzio akakubaliwa sasa bifu la nini ulitaka utongozwe ww... wadau em nisaidien kushauri hawa watu jamani wanakeraaaa
woyoooooooooo
Mwanaume rijali kukataliwa ni sehemu ya maisha ya kila siku, ni kama vile uendavyo stand na kukuta daladala hii imejaa basi unasubiri ingine yenye nafasi!! Haina sababu ya kujenga bifu, huyo siyo mtongozaji na hapo ndiyo anajifunza kutongoza akikua na kuzoea hatajenga bifu za hivyo tena
chumvini sooon
Natamani nifike hata sa hivi, nasikia tu wanapasifia....
ndo ujenge bifu na mshkaji wako?
ndiyo wewe ule papuchi nayo taka kuila unafkiri ni rahisi
teremkia hapo mkuu umeshafika
Nishike mkono tuongozane wote, mi mgeni uku... nsije nkaingilia njia ya nyuma lol!!!