RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,745
- 107,897
Anaweza ila hapo ni harusini, ni kama kuwa makaburini utoe risala uanze kusema 'mimi ni Kaka wa bwana harusi'Kwani mtu hawez kua kaka wa mtu aliekufa au
Anaweza ila hapo ni harusini, ni kama kuwa makaburini utoe risala uanze kusema 'mimi ni Kaka wa bwana harusi'Kwani mtu hawez kua kaka wa mtu aliekufa au
nimechekaaaAnaweza ila hapo ni harusini, ni kama kuwa makaburini utoe risala uanze kusema 'mimi ni Kaka wa bwana harusi'
Ni kwamba bwana harusi alikuwa anatumia jina la rafikiye marehemu mdogo wa mtoa hotuba, yaleyale ya Bashite na Daudi.Kuna clip inatrend mitandaoni Sana kuhusu huyu jamaa!
Nilichojifunza inatakiwa kwa week unafanya angalau maramoja kaspeech kakishikaji peke yako hata room kwako kuhusu maada tofauti tofauti za maisha na matukio mbalimbali
😂😂😂😂😂😂😂