Kuna ishara gani hapa????

Kuna ishara gani hapa????

miami0101

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
1,336
Reaction score
1,275
Tarehe 27/09/2017
Mishale ya saa 11 nanusu jioni, kuna dingi mmoja hivi makamu ya miaka 45 hivi, alikuja kwangu tukawa tunapiga story tofauti maana yeye nimtu wa story sana

Sasa kwenye story tukajikuta tunapiga story za kituo cha polisi kilicho funguliwa kwenye kata yetu, akanipa sana story za hicho kituo cha polisi sehemu kilipo na pia akaniambia kitasaidia sana maana mambo ya uhalifu yalikua mengi, akanipgia na story kua yeye aliwahi kuwekwa sero na maisha ya sero ni magumu sana!

Kesho yake sasa tarehe 28 mwezi wa tisa, nlipata msala ambao sikuutegemea nkajikuta nalala sero kwa mara ya kwanza kabisa!

JANA tar 23/12 kuna sehem tulikua tumekaa na huyo dingi pamoja na watu wengine tukawa tunapiga story kuhusu uendeshaji wa pikipiki na namna ambavyo mtu anaweza akapata ajali kwenye barabara za vumbi zilizochongwa na greda,

CHAKUSHANGAZA leo majira ya sa3 asubuhi nmepata ajali ya pikipiki japo nimechubuka kwenye kiganja kiaina na kwenye mikono
e5b5ec5c81623f1de0c90c5c8c95a3c6.jpg


INAKUAJE HAYA MATUKIO YAMETOKEA BAADA YA KUZUNGUMZIWA??? YANI TUKILIONGELEA JAMBO BAYA LEO, KESHO LINATOKEA??
????
 
Aliwazalo Mjinga Ndilo Litakalo Mtokea

Hawa Wahenga Waliwaza Mbali Sana Aithee
Hujanielewa, kwahyo wewe kwenye kila story za mambo mabaya unazopiga na washkaji ndio unaziwaza zitakutokea??? Nikatika mazungumzo tuu sio kwamba nakua najua ni mimi yatanitokea, tena yote ni kwa mara yavkwanza

Kabla ya hapo skuwahi kulala sero wala skuwah kuanguka na pikpik

Soma uelewe
 
Tarehe 27/09/2017
Mishale ya saa 11 nanusu jioni, kuna dingi mmoja hivi makamu ya miaka 45 hivi, alikuja kwangu tukawa tunapiga story tofauti maana yeye nimtu wa story sana

Sasa kwenye story tukajikuta tunapiga story za kituo cha polisi kilicho funguliwa kwenye kata yetu, akanipa sana story za hicho kituo cha polisi sehemu kilipo na pia akaniambia kitasaidia sana maana mambo ya uhalifu yalikua mengi, akanipgia na story kua yeye aliwahi kuwekwa sero na maisha ya sero ni magumu sana!

Kesho yake sasa tarehe 28 mwezi wa tisa, nlipata msala ambao sikuutegemea nkajikuta nalala sero kwa mara ya kwanza kabisa!

JANA tar 23/12 kuna sehem tulikua tumekaa na huyo dingi pamoja na watu wengine tukawa tunapiga story kuhusu uendeshaji wa pikipiki na namna ambavyo mtu anaweza akapata ajali kwenye barabara za vumbi zilizochongwa na greda,

CHAKUSHANGAZA leo majira ya sa3 asubuhi nmepata ajali ya pikipiki japo nimechubuka kwenye kiganja kiaina na kwenye mikono
e5b5ec5c81623f1de0c90c5c8c95a3c6.jpg


INAKUAJE HAYA MATUKIO YAMETOKEA BAADA YA KUZUNGUMZIWA??? YANI TUKILIONGELEA JAMBO BAYA LEO, KESHO LINATOKEA??
????
Mdomo huumba hata mwanao usimpe jina LA ovyo atafanana nalo kama shida,tabu,ni MPE jina zuri kwa sababu mdomo huumba vile vile ukikosana na mtu usipende kumwambia ataona .kweli ataona
 
Mdomo huumba hata mwanao usimpe jina LA ovyo atafanana nalo kama shida,tabu,ni MPE jina zuri kwa sababu mdomo huumba vile vile ukikosana na mtu usipende kumwambia ataona .kweli ataona
Kwahiyo unashauri nini kutokana na kilichontokea??? Kwahyo niache kupga story zinazohusisha mambo mabaya au
 
Hujanielewa, mimi sijawaza kua hayo yatanitokea ila ni katika story tuu za kawaida.. story ya hii link imetofautiana na nnachimaanisha.
Huwezi kupiga story za mademu wazuri wenye shepu kali halafu useme hukuwa unawaza ngono, its ridiculous
 
Back
Top Bottom