Kuna ishara gani hapa????

Kuna ishara gani hapa????

Ongea nae kuhusu kushinda biko, halafu ukitoka hapo nenda kacheze biko
 
Mlikuwa mnapiga story za ajali ya pikipiki, wakati mnapiga hiyo story, ulikuwa unawaza nini labda kwa mfano..
Nlikua nawaza watu walivyopata ajali za pikpik, lakin sio kwa upande wangu maana najiamin na udereva wangu a skuwah kupata ajali

Pia skuwah kulala sero hata kufka polisi lakin baada ya mazungumzo kesho yake nkalala sentro

Na kwny mazungumzo sikuwaza kwa upande wangu
 
Jamiiforum ya miaka hii haina wachangiaji wa kimsaada, watu mnacomment tuu na nyie muonekane
Wewe vipi ...??? Wewe mwenyewe inaonesha hujitambui...mada yako umeileta kana kwamba unatulazimisha sisi tuamini hayo maruwenge yako ya ku-connect dots za matukio ya kufikirika....Unategemea tukupe jibu gani...???


Au kama vipi nenda kwa kina Gwajima wakuombee maana huyo mzee ni jini limetumwa kwako....
 
Akisema kuna jamaa kakamatwa katatauliwa rinda hama nchi
 
Wewe vipi ...??? Wewe mwenyewe inaonesha hujitambui...mada yako umeileta kana kwamba unatulazimisha sisi tuamini hayo maruwenge yako ya ku-connect dots za matukio ya kufikirika....Unategemea tukupe jibu gani...???


Au kama vipi nenda kwa kina Gwajima wakuombee maana huyo mzee ni jini limetumwa kwako....
Fungua thread yako usilete ujuaji, kutoa ushauri huwez unaleta ujuaji.. nmeomba ushauri sijaona ushauri wako zaidi yabkuleta ujuaji
 
Mdomo huumba hata mwanao usimpe jina LA ovyo atafanana nalo kama shida,tabu,ni MPE jina zuri kwa sababu mdomo huumba vile vile ukikosana na mtu usipende kumwambia ataona .kweli ataona
Majina kama:
1. Majaaliwa .. huyu ataishi kwa bahati.
2. Pombe.. huyu atakua mlevi tu hata kizazi chake.
3. Suluhu.. huyu atakua mtu wa kusuluhisha watu.
4. Tundu.. huyu atakua mtundu sana.
5. ...
6 ....
 
Majina kama:
1. Majaaliwa .. huyu ataishi kwa bahati.
2. Pombe.. huyu atakua mlevi tu hata kizazi chake.
3. Suluhu.. huyu atakua mtu wa kusuluhisha watu.
4. Tundu.. huyu atakua mtundu sana.
5. ...
6 ....
Kwahyo unamaanisha hiyo namba 2 jamaa litakua lilevi sana ausio
 
Nlikua nawaza watu walivyopata ajali za pikpik, lakin sio kwa upande wangu maana najiamin na udereva wangu a skuwah kupata ajali

Pia skuwah kulala sero hata kufka polisi lakin baada ya mazungumzo kesho yake nkalala sentro

Na kwny mazungumzo sikuwaza kwa upande wangu
Hata kama ulikuwa unawazia watu wengine, bado upo katika mawazo hayo, hicho tu kinatosha..
 
Unataka ushauri gani sasa?kamuulize uyo Mzee unayepiga naye story!
 
Back
Top Bottom