Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Leo Nimekutana na battle ya Zuchu na Tems cz wote wamewekwa kwenye category moja za kuania tuzo
Ila Ushabiki tuweke pembeni Zuchu kwenye kuimba aha Mashallah anajua yupo vizur kweny kila angle
Ila kwa Tems cz ni Mnaigeria na kabebwa sana na wizkid ila hana maajabu yeyote
Ila Ushabiki tuweke pembeni Zuchu kwenye kuimba aha Mashallah anajua yupo vizur kweny kila angle
Ila kwa Tems cz ni Mnaigeria na kabebwa sana na wizkid ila hana maajabu yeyote