Kuna Hii Battle Ya ZUCHU vs TEMS

Tems mpaka Justin Bieber anataka kollabo naye huyo chuchu Nani anamjua nje ya pwani??
 
Ndio umfananishe na zuchu
Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
 
Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
Muda ni mwalimu mzuri tu...
 
Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
Huyo Zuchu nae akipewa Wizkid ataimba nini? Yalaa...Yalaa au?
 
Back
Top Bottom