Zuchu huyu huyu anayelia kisauti ka mtoto mchanga kwenye singeli?
Na katiba Mpya isitoleweTozo ziendelee aisee.
Abishe tuone.Na Zuchu ukubwa wake unatokana na yeye kua kwenye lebo ya WCB..bisha
Lavalava na Queen Doreen si wapo WCB mbona hawawi wakubwa........?Na Zuchu ukubwa wake unatokana na yeye kua kwenye lebo ya WCB..bisha
Lavalava na Queen Doreen si wapo WCB mbona hawawi wakubwa........?
Wewe si umesema sababu ni WCB,sasa hivi sababu si WCB bali nyota....?Hao wana nyota ya mjusi kafiri
Wewe si umesema sababu ni WCB,sasa hivi sababu si WCB bali nyota....?
Kwa hiyo wengine wana reli #.
Vijana wa sinza huwa mnatia aibu sana
Ndio maana huwa mnakanyagwa
Ndio umfananishe na zuchuTerms ukubwa wake unatokana na ukubwa wa wimbo alioshirikishwa na Wizkid tu
Tems mpaka Justin Bieber anataka kollabo naye huyo chuchu Nani anamjua nje ya pwani??
Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collaboNdio umfananishe na zuchu
Muda ni mwalimu mzuri tu...Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
Sasa hapa tunamzungumzia lava lava na quuen Darleen?Lavalava na Queen Doreen si wapo WCB mbona hawawi wakubwa........?
Huyo Zuchu nae akipewa Wizkid ataimba nini? Yalaa...Yalaa au?Tena nazani zuchu ni mkubwa kuliko huyo Terms, tatzo letu wabongo tunaoenda kwwnda na trends sababu terms kafanya kazi na wizkid ambaye n msanii mkubwa basi ule ukubwa wa wizkid tunataka kimpa na terms huohuo ukubwa lakin sivyo ilivyo, na wengi wetu tumemjua kupitia hyo collabo
Kwani hapa si wanazungumziwa Zuchu na Tems, sasa WCB imefuata nini?Sasa hapa tunamzungumzia lava lava na quuen Darleen?
Sawa Basi kitu gani kinamfanya Zuchu awe Bora kuliko lava lava na quuen Darleen?
Lebo ambayo imemtoa ZuchuKwani hapa si wanazungumziwa Zuchu na Tems, sasa WCB imefuata nini?