Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Mara nyingi kipindi cha uchaguzi pesa nyingi mno hutumika kwenye kampeni na mbilinge mbilinge za hapa na pale kuhakikisha chama tawala kinabaki madarakani kwa namna yoyote ile mwisho wa siku uchaguzi ukitamatika hazina inabaki nyeupe na watanzania huwa wanakuwa kwenye kipindi kigumu mno cha maisha na huwa wanakamuliwa kweli kweli kurudisha pesa kwenye hazina.
Kipindi hiki naona matumizi ni makubwa mno kuanzia kununua vyama pinzani , kuzima watu / ubambikiwaji wa kesi kwa watu wanaonekana watakwamisha ushindi kwa chama tawala, hivyo pesa nyingi inatumika hapo.
Pesa nyingi ya tanganyika kuelekezewa Zanzibar hili nalo ni pigo kubwa mno.
Pesa za kulipa vilabu vya mipira kuongeza hamasa kwa chama tawala .
Pesa kwa viongozi wa juu wa ngazi za usalama kuhakikisha chama tawala kinaendelea kubakia madarakani nk.
Sasa haya yote maumivu yatazidi kuonekana baada ya uchaguzi.
Na hata wale chawa waliokuwa wanapewa elfu 10, 10 kukipigia promo chama tawala watajuta haswa hawa ndugu zetu wa bodaboda.
Bado hatuja chelewa sana.
No reform no election
CCM must go.
Kipindi hiki naona matumizi ni makubwa mno kuanzia kununua vyama pinzani , kuzima watu / ubambikiwaji wa kesi kwa watu wanaonekana watakwamisha ushindi kwa chama tawala, hivyo pesa nyingi inatumika hapo.
Pesa nyingi ya tanganyika kuelekezewa Zanzibar hili nalo ni pigo kubwa mno.
Pesa za kulipa vilabu vya mipira kuongeza hamasa kwa chama tawala .
Pesa kwa viongozi wa juu wa ngazi za usalama kuhakikisha chama tawala kinaendelea kubakia madarakani nk.
Sasa haya yote maumivu yatazidi kuonekana baada ya uchaguzi.
Na hata wale chawa waliokuwa wanapewa elfu 10, 10 kukipigia promo chama tawala watajuta haswa hawa ndugu zetu wa bodaboda.
Bado hatuja chelewa sana.
No reform no election
CCM must go.