Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,318
- 845
Wanajamvi naomba tujadili umuhimu kuhusu hilo,
Mfano mimi toka Chuo nina nyingi za wanaume na wanawake halikadhalika. Marafiki ambao ki ukweli tuna matani mengi sana!
Ukijaribu kuwaeleza ukweli kwamba sasa upo ndani ya ndoa masihala yanakuwa mengi; kitendo kinachopelekea kuwa na ujumbe kwenye simu ambazo akizikuta mpenzi wako kinasababisha kudhiwa kukuamini na ungomvi mwingi ndani ya nyumba.
Mie naona suluhu ni kubadili namba ya simu. Nyie mnaonaje?
Mfano mimi toka Chuo nina nyingi za wanaume na wanawake halikadhalika. Marafiki ambao ki ukweli tuna matani mengi sana!
Ukijaribu kuwaeleza ukweli kwamba sasa upo ndani ya ndoa masihala yanakuwa mengi; kitendo kinachopelekea kuwa na ujumbe kwenye simu ambazo akizikuta mpenzi wako kinasababisha kudhiwa kukuamini na ungomvi mwingi ndani ya nyumba.
Mie naona suluhu ni kubadili namba ya simu. Nyie mnaonaje?