KUSYAMA
Member
- Jan 27, 2011
- 6
- 0
Facts:
1) Kwanza umri wa kuishi kwa Watanzania umeshuka mpaka miaka 45, kwa maana hiyo watumishi wetu walio wengi hawataweza kustaafu wakiwa hai. ni vizuri tupunguze umri wa kustaafu uendane na umri wa kuishi kwa Watanzania kama zinavyoonyesha tafiti nyingi juu ya umri wa mtanzania kuishi duniani.
2) Watumishi waliowengi wanabweteka na urefu wa umri wa kustaafu na kuwafanya wasijiandae kwa maisha ya baadae, badala yake wanaponda mali wakiamini muda wa kustaafu bado mwingi so watajiandaa tu.
3) Serikali itakuwa imetoa fulsa kwa vijana wengi kuingia kazini na pia kuwafanya watumishi wa serikali kwenda kujiajili wakiwa bado wana nguvu na weledi mkubwa wa kuendesha miladi mbalimbali baada ya uzoefu na mtaji watakao kuwa wameupata kupitia uwekezaji wao ktk mifuko ya jamii.
Tofauti na tunavyowaimiza vijana kujiajili bila wao kuwa na mitaji wala uzoefu wowote wa kimaisha, biashara na utumishi.
4) Kuwaondolea watumishi wetu utegemezi wa ajira kwa muda mrefu, jambo linalowafanya kuwa tegemezi wa ajira na ata pindi wanapostaafu kuomba mikataba au kupita pita maofisini waonekane bado ni watumishi.
5) Kuleta rotation ya utumishi wa umma katika kipindi kifupi, ili kuwezesha mpishano kwa wakati muafaka kati ya vijana wasaka ajira na watumishi wanaostaafu.
6) Mtumishi aliyefanya kazi kwa miaka 50 serikalini au sekita binafsi anayo fulsa kubwa kujiajiri mwenyewe kuliko kijana anayehitimu chuo bila mtaji wala uzoefu wowote wa maisha au utendaji.
Mtumishi huyu anazo fulsa nyingi kama ifuatavyo:
1. Ana uzoefu wa kujisimamia kuliko kijana aliyehitimu soon
2. Ana mafao ambayo anaweza kuyatumia kama mtaji mkubwa kibiashara
3. Anakopesheka rahisi zaidi kuliko kijana huyu aliyehitimu chuo juzi tu
4. Ana partiners wengi kuliko kijana huyu aliyehitimu chuo juzi
5. Huyu mtumishi tayali ana experience ya mafanikio
Angalizo:
A) Huu ni mtazamo wangu na si mapendekezo, serikali ambayo ni wananchi inaweza kubolesha wazo hii na likaleta tija kwa vijana na wastaafu wetu Tanzania.
B) Serikali iwaamasishe watumishi kuwekeza ili waamie kwenye ujasiliamali na kuwapisha vijana waliohitimu vyuo kuingia serikalini wapate uzoefu wa maisha ya kazi, kujisimamia, maisha na ujasiliamali mdogo wakiwa kazini kisha na wao wajiandae kung'atuka kuwapisha wanao kuja.
TANZANIA BILA UMASIKI INAWEZEKANA
Ni mtazamo tu.............................., unaweza pia toa hojaaaaaaa
mi binafsi nina miaka 45 now
1) Kwanza umri wa kuishi kwa Watanzania umeshuka mpaka miaka 45, kwa maana hiyo watumishi wetu walio wengi hawataweza kustaafu wakiwa hai. ni vizuri tupunguze umri wa kustaafu uendane na umri wa kuishi kwa Watanzania kama zinavyoonyesha tafiti nyingi juu ya umri wa mtanzania kuishi duniani.
2) Watumishi waliowengi wanabweteka na urefu wa umri wa kustaafu na kuwafanya wasijiandae kwa maisha ya baadae, badala yake wanaponda mali wakiamini muda wa kustaafu bado mwingi so watajiandaa tu.
3) Serikali itakuwa imetoa fulsa kwa vijana wengi kuingia kazini na pia kuwafanya watumishi wa serikali kwenda kujiajili wakiwa bado wana nguvu na weledi mkubwa wa kuendesha miladi mbalimbali baada ya uzoefu na mtaji watakao kuwa wameupata kupitia uwekezaji wao ktk mifuko ya jamii.
Tofauti na tunavyowaimiza vijana kujiajili bila wao kuwa na mitaji wala uzoefu wowote wa kimaisha, biashara na utumishi.
4) Kuwaondolea watumishi wetu utegemezi wa ajira kwa muda mrefu, jambo linalowafanya kuwa tegemezi wa ajira na ata pindi wanapostaafu kuomba mikataba au kupita pita maofisini waonekane bado ni watumishi.
5) Kuleta rotation ya utumishi wa umma katika kipindi kifupi, ili kuwezesha mpishano kwa wakati muafaka kati ya vijana wasaka ajira na watumishi wanaostaafu.
6) Mtumishi aliyefanya kazi kwa miaka 50 serikalini au sekita binafsi anayo fulsa kubwa kujiajiri mwenyewe kuliko kijana anayehitimu chuo bila mtaji wala uzoefu wowote wa maisha au utendaji.
Mtumishi huyu anazo fulsa nyingi kama ifuatavyo:
1. Ana uzoefu wa kujisimamia kuliko kijana aliyehitimu soon
2. Ana mafao ambayo anaweza kuyatumia kama mtaji mkubwa kibiashara
3. Anakopesheka rahisi zaidi kuliko kijana huyu aliyehitimu chuo juzi tu
4. Ana partiners wengi kuliko kijana huyu aliyehitimu chuo juzi
5. Huyu mtumishi tayali ana experience ya mafanikio
Angalizo:
A) Huu ni mtazamo wangu na si mapendekezo, serikali ambayo ni wananchi inaweza kubolesha wazo hii na likaleta tija kwa vijana na wastaafu wetu Tanzania.
B) Serikali iwaamasishe watumishi kuwekeza ili waamie kwenye ujasiliamali na kuwapisha vijana waliohitimu vyuo kuingia serikalini wapate uzoefu wa maisha ya kazi, kujisimamia, maisha na ujasiliamali mdogo wakiwa kazini kisha na wao wajiandae kung'atuka kuwapisha wanao kuja.
TANZANIA BILA UMASIKI INAWEZEKANA
Ni mtazamo tu.............................., unaweza pia toa hojaaaaaaa
mi binafsi nina miaka 45 now