Sheria ya kustaafu kwa sasa ni mpaka miaka 60 lakini ukosefu wa ajira nchini ni mkubwa mno. Ninavyoongea kuna vijana tangia 2015 bado wanahangaikia ajira. Unakuta kuna wazee zaidi ya miaka 55 bado wako kazini na utendaji kazi wao umepungua kwa kiasi kikubwa.
Je, tukipunguza umri wa kustaafu hatuewezi kuongeza upatikanaji wa ajira kwa vijana?
Je, tukipunguza umri wa kustaafu hatuewezi kuongeza upatikanaji wa ajira kwa vijana?