Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,843
- 2,272
Kodi ya mshikamano italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya uchumi. Wakati benki ilikuwa ikionekana kama njia isiyo rafiki miongoni mwa Watanzania wengi, sasa inaonekana kuwa tiba mujarab kwenye miamala ya kifedha hasa kutuma na kupokea.
Miamala ya kawaida ya kuhamisha fedha (ndani kwa ndani, yani , toa akaunti ya benki X kwenda akaunti ya benki X) kwa baadhi ya benki ni bure.
Hivyo, wazee wetu kule vijijini watakatwa pesa ya kutolea tu pale ATM ambayo , kwa kulinganisha, si sawa na tozo za Mzee wa kuhamia Burundi.
Ninatambua umuhimu wa katiba mpya
Miamala ya kawaida ya kuhamisha fedha (ndani kwa ndani, yani , toa akaunti ya benki X kwenda akaunti ya benki X) kwa baadhi ya benki ni bure.
Hivyo, wazee wetu kule vijijini watakatwa pesa ya kutolea tu pale ATM ambayo , kwa kulinganisha, si sawa na tozo za Mzee wa kuhamia Burundi.
Ninatambua umuhimu wa katiba mpya