Ninapata message kwenye screen sasa kwamba JK atakuwa anahutubia Taifa ama atakuwa anaongelea mambo mbali mbali , je ni kweli ama ni habari za mtaani ?
Mwenye nyeti azimwage hapa tujue namna ya kuipata hotuba ya Mkulu LIVE
kwanza asitupotezee timing atuache tuangalie mpira sisi..anaongea nini?ni dhahiri hana jipya au thread ya Rev.ya kumsifia Lowassa imemstua..hahaaaaa kazi anayo na mambo yake yya zima moto hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.