Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,808
Mh umejua kuelezeaWanaume tuna high sex drive kubwa kuliko nyinyi tunakuwa na hamu kubwa ya lile tendo na uhitaji wa Hali ya juu ishakuwa kama basic needs
Ndo maana mwanaume anaweza lala na mwanamke yeyote either Dada poa na akawa comfortable na akafurahia wewe unaweza? Wewe unaweza kununua makaka poa? Mfano kama yangekuwepo
Chengine sisi viumbe vyenye asili ya kiume ni Mara chache sana kuwa na jike moja maybe unaweza ukaniletea hoja za kweny maandiko ila ukumbuke tu pia kuna dini zinaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja
Na namalizia ndio wengi hawawezi sisi ndo tuna uhitaji mkubwa wa lile tendo ndo maana sisi tunawasumbua tunawatongoza kwa Sana ushangai kuona kichaa wa kike ana mimba mtaani?
Sometimes inaweza ikawa dhambi au sio dhambi anyway sjui vyevyote itakavyokuwa ila Hakuna mwanaume ambae ana mwanamke mmoja ni vile tu tunawaheshimu hamjui na tukichepuka haimaanishi hatuwapend ni ule uhitaj tu sisi tunao mkubwa mwanaume mwenye mke mmoja mchunguze vzur huo ndo ukwel mchungu hampend kuskia
Na tunaumia na nyinyi mkichepuka na tunajaribu kutengeneza vikwazo ilo swala kwenu lionekane lina uzito mfano mwanamke mwenye wanaume wengi ni Malaya kwa wanaume ndo anaonekana mjanja.. Kwa sababu pia sisi ni selfish Note hilo tunapenda kumiliki tena peke yetu plus na huu mfumo dume uliopo
Sometimes tunaweza hoji ila ndo hvyo hatuwez badilisha kitu haya mambo yapo since beginning of the time maybe millennium or centuries kadhaa zikipita kutakuwa na changes kidogo ila sidhani well hatuwezi jua mda huo tutakuwa fossil
Human beings
A selfish hairless ape