Kwa mfano mtu aliyekufa akiwa na miaka 50, mwingine akafa na miaka 80. Baada ya wote kufa...watakuwa wanafaida au hasara gani?
Kuishi muda murefu kunafaida ila kwa ratio kama ulizoweka hizo.
1) muda mrefu unapata muda wa kustuka na kumrudia mungu endapo mungu akikujaaria.
2)kula mafanikio yako, kwa mtu kama mengi faida kwasababu anaspend mafanikio yake.
3)kupata muda mrefu wa kuwawekea misingi na utaratibu watoto wako.
Umesoma kweli nilichoandika.Simaanishi faida kwa watu waliobaki, ila faida kwa wale waliokufa. Yaani aliyekufa na 40 na aliyekufa na 80 baada ya kufa nani ana faida na nani ana hasara na ni zipi?
Has mzee unajina langu.Major Factors
Kuishi kwingi ni kuina mengi.... GaDem'it...[emoji51][emoji51]Kwa mfano mtu aliyekufa akiwa na miaka 50, mwingine akafa na miaka 80. Baada ya wote kufa...watakuwa wanafaida au hasara gani?