Kuna bia za kike na za kiume?

Kuna bia za kike na za kiume?

Tafuta na usome kitabu kinachoitwa THE MANIPULATED MAN. Kitabu hicho kitakueleza vizuri kwanini kazi ngumu ni za wanaume (Na Bible imesema tutakula kwa jasho) na vitu vitamu vitamu ni vya wanawake. Kwa kifupi mwanamke amejiweka kwenye position ambayo anajifanya dhaifu na mwanaume analazimika kumhudumia maisha yote. Vitu vizuri ni vya wanawake na vibaya vibaya ni vya wanaume. Ukifa unatakiwa umwache mwanamke wako vizuri asipate shida ya maisha (sasa utatuachaje na wanao? 😊😊), yeye hajiulizi akifa anakuachaje. Kwa kifupi mwanaume amekuwa manipulated akawekwa angle ambayo kuchomoka ni ngumu sana. Ukiwa mwanaume unatakiwa unywe bia ya safari chunguuuuuu, halafu mwanamke anywe savanna, redds, flying fish, au Smirnoff ice. Ukinywa Saint Anna eti ni ya kike halafu Robertson ni sawa kunywewa na mwanaume. Stupid! Formula ya kutengeneza hivyo vinywaji viwili ni ile ile. Eti mwanaume unywe konyagi, kvant na matakataka mengine ya kuunguza maini, mwanamke anywe vitu safi. NI UJINGA TU. Walau Ulaya na marekani wameshaanza kutoka kwenye hizo mindset!
Yani wanaume sijui kwanini huwa mnapenda kuwatupia lawama kwenye kila kitu hata yale ambayo mmesababisha wenyewe, sasa hayo ya mwanaume kuwa manipulated wanawake wana kosa gani ilihali toka zamani waliokuwa wanatunga na kusimamia tamaduni, imani, mila na desturi ni wanaume na walioweka mgawanyo wa majukumu kuanzia kwenye jamii hadi kwenye familia ni wanaume, na hata hayo mambo ya sijui kuna vitu vya kiume na vya kike sijui simu sijui magari ni ninyi wenyewe wanaume ndio mmejazana huo ujinga halafu mnakuja kuwasingizia wanawake ilimradi tu ninyi mjivictimize na kuonekana mko innocent
 
Haka unakaataje ni ka kike?
images.jpeg
 
Back
Top Bottom