Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari,
Leo kuna babu amekuja TBC kwenye jambo Tanzania kulalamikia swala la upatikanaji wa maji huko Tandahimba. Anasema pande zile mkulima haogi siku hata 4 zinapita na maji ya kunywa unayafuata kilometa 15, ni hatari!
Imagine wewe leo tukutupe Tandahimba uta survive?
Leo kuna babu amekuja TBC kwenye jambo Tanzania kulalamikia swala la upatikanaji wa maji huko Tandahimba. Anasema pande zile mkulima haogi siku hata 4 zinapita na maji ya kunywa unayafuata kilometa 15, ni hatari!
Imagine wewe leo tukutupe Tandahimba uta survive?