Kuna baadhi ya taasisi za umma zinashindwa kuwaboreshea maslahi wafanyakazi wake

King gorani

Member
Oct 30, 2020
21
8
Kuna baadhi ya taasisi za umma zinashindwa kuwaboreshea maslahi wafanyakazi wake kwa kisingizio kuwa hawana pesa, lakini kuna pesa zinatumika vibaya kwa baadhi ya hizo taasisi utakuta kila mwezi viongozi zaidi ya kumi wanasafiri nje ya nchi kwa kigezo cha kupata per DM bila kuleta tija yoyote kwa taasisi.

Unakuta kwenda nje ya nchi mtu mmoja anachukua zaidi ya millioni 25 na iliwezekana kupunguza idadi wakasafiri hata watu wa 2 au wa3 na pesa zingine zigawanywe ili kuboresha maslahi binafsi ya watumishi kwani linaongeza ufanisi katika sehemu ya kazi.

Kwani watumishi wengi wana maisha magumu na pesa za kuwalipa vizuri zipo sema zinatumika kwa namna tofauti, ningependa wakurugenzi na makatibu wasimamie ili kufanya sekta za umma kuwe na nuru...
 
Kuna baadhi ya taasisi za umma zinashindwa kuwaboreshea maslahi wafanyakazi wake kwa kisingizio kuwa hawana pesa, lakini kuna pesa zinatumika vibaya kwa baadhi ya hizo taasisi utakuta kila mwezi viongozi zaidi ya kumi wanasafiri nje ya nchi kwa kigezo cha kupata per dm bila kuleta tija yoyote kwa taasisi, unakuta kwenda nje ya nchi mtu mmoja anachukua zaidi ya millioni 25 na iliwezekana kupunguza idadi wakasafiri hata watu wa 2 au wa3 na pesa zingine zigawanywe ili kuboresha maslahi binafsi ya watumishi kwani linaongeza ufanisi katika sehemu ya kazi

Kwani watumishi wengi wana maisha magumu na pesa za kuwalipa vizuri zipo sema zinatumika kwa namna tofauti, ningependa wakurugenzi na makatibu wasimamie ili kufanya sekta za umma kuwe na nuru...
 
Hizo taasisi zipo kibao wala usiogope kutaja na nyingi ni zile zilizoanzishwa miaka mingi nyuma ...Hizi ni baadhi watumishi wake hawana maslahi TRC, ,TPA (Kwa watumishi wa chini kama diploma),TAA,GPSA ...Hao jamaa ni wachungu sana kama halmashauri ila wachache wanapiga pesa .


Yaani wanashindwa na taasisi za juzi juzi kama TCRA .... Kazi zao wanafanya wananufaika wachache angalau TPA mwaka huu kajitahidi kachukua tunzo ya muajiri bora ila hao wengine wafanyakazi wao wanasononokena tu daily
 
Hizo taasisi zipo kibao wala usiogope kutaja na nyingi ni zile zilizoanzishwa miaka mingi nyuma ...Hizi ni baadhi watumishi wake hawana maslahi TRC, ,TPA (Kwa watumishi wa chini kama diploma),TAA,GPSA ...Hao jamaa ni wachungu sana kama halmashauri ila wachache wanapiga pesa .


Yaani wanashindwa na taasisi za juzi juzi kama TCRA .... Kazi zao wanafanya wananufaika wachache angalau TPA mwaka huu kajitahidi kachukua tunzo ya muajiri bora ila hao wengine wafanyakazi wao wanasononokena tu daily
vp kuhusiana na TANAPA na TPDC Wakoje?
 
vp kuhusiana na TANAPA na TPDC Wakoje?
Hao wafanyakazi wao wanaishi vizuri kabisa na wanaendesha taasisi kisasa zaidi ila hizo hapo niizotaja wapo kizamani sana.

Wanaonufaika ni wakuu wa vitengo ,manager na wakurugenzi basi ,huku chini hata per diem ni ndogo imagine wengine wamepitwa hata na halmashauri kwa per diem...wenzao kwa officer ni 250k wao bado 180k na zilishabadilishwa kuanzia mwaka huu.
 
Hao wafanyakazi wao wanaishi vizuri kabisa na wanaendesha taasisi kisasa zaidi ila hizo hapo niizotaja wapo kizamani sana.

Wanaonufaika ni wakuu wa vitengo ,manager na wakurugenzi basi ,huku chini hata per diem ni ndogo imagine wengine wamepitwa hata na halmashauri kwa per diem...wenzao kwa officer ni 250k wao bado 180k na zilishabadilishwa kuanzia mwaka huu.

Halmashauri gani nchini inalipa per diem ya 250k?
 
rais ni mkuu wa taasisi zote lakini hajui kama wasaidizi wake ni mizigo ya mavi.

mtu asiye sehemu ya ufumbuzi wa tatizo,yeye naye ni tatizo.
 
Mahakama aisee wale ukiondoa majaji na mahakimu, wale watumishi wengine ambao sio majaji na mahakimu wana hali mbaya hatari.
 
Back
Top Bottom