the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,371
kiufupi ni mtu mzima huyu..ana utu wake na ndivyo ipasavyo..ila nimetembea maeneo fulani nchi jirani mwaka jana nikashuhudia kijana mdogo nadhani miaka 14-16 akipewa kichapo heavy na umati kisa kapora..halikukaa vizuri manake yule bado yuko kwenye ulezi na ingekuwa vyema kumkosoa tu..