jayec
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 599
- 477
Huwez amin mkuu uarabun ukiishi kwa kufuata sheria zao utaishi kwa raha sana.Waarabu wabaya sana kama utaishi kinyume na sheria zaoUarabuni ninakokuja mimi au kwingine? Huko si ndo wanawasukumia maghorofani Dada zetu au nimekosea..... Si ndo huko wanakochinjana hadharani au.........