Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Usithubutu.Ngoja nika download
Labda kama unaweza kuhack
Usithubutu.Ngoja nika download
Utafikiwa tu, hii operesheni haimuachi mtu. Nami nilikuwa natumia vizuri tu mpala jana nilipokutana na mauzauza.]wanaanza taratibu wanakutumia ujumbe kila siku kwamba unatumia watsap isiyo sahihi tafadhali badilisha wanakupa week mbili then wana-log ou wenyewe utajua hujui,[
utawafikiwa tuu mkuu subiriBado nadunda na gb na fm
Unafikirii wao wanashindwa kuweka izo feature kwenye official watsap ? jiulize kwanini hawawekiwhatsap badala ya fungia fungia, wangeamua kupiga hela, kwamba kuwe na version 2, hii ya kawaida na premium, premium iwe na features zote kama za gb wasap na iwe ni ya kulipia, ila naona badala ya kunufaika na ubunifu wa wazee wa gb wao wanaleta wivu na kupiga ban... kama ni kitu watu wanapenda basi walipie kidogo iwe win win situation
Tena siku ambayo haitegemei na ana michongo ya maana kwa magroups atashangazwa sana siku hiyo..utawafikiwa tuu mkuu subiri
WhatsApp mods ambayo ina strong ant ban ipi unayoijua? Share nami niidownloan maana hii og WhatsApp michoshoMimi walinifungia (permanent ban) nilijaribu kuwaomba kwa ku appeal mara kadhaaa wamenifungulia jana baada ya miezi 3 ,nilikuwa tayari nimeshabadilisha number ya whatspp na kwa sasa natumia whatspp OG kwa number nyingine huku ile main number natumia whatspp official. Cha muhimu ni kutumia WhatsApp moods ambayo ina strong anti ban na ambayo ipo updated hapa unaweza uka survive.
ndio kuz mimi mark wakishaanza mambo yao jamaaa wanakuwa washakutumia update gb whatsaap yako.Mimi walinifungia (permanent ban) nilijaribu kuwaomba kwa ku appeal mara kadhaaa wamenifungulia jana baada ya miezi 3 ,nilikuwa tayari nimeshabadilisha number ya whatspp na kwa sasa natumia whatspp OG kwa number nyingine huku ile main number natumia whatspp official. Cha muhimu ni kutumia WhatsApp moods ambayo ina strong anti ban na ambayo ipo updated hapa unaweza uka survive.
Mater of time na hiyo itawaingiza chaka.Kuna moja inaitwa An-watsap
Hizi gb inategemea umetoa kwny source gani kuna za website fulani ukipata zinazingua na kuna zingine ukipata ziko fresh.....inategemea pia na simu unayotumia, nikiweka gb kwenye sony inapigwa ban fasta ila kwny samsung sijala ban naona pia inategemea na security ya simutupe mbinu
Nimeipakua ila nikiunga inataka nitumie official WhatsApp. Nayo tayari imekula banTumia ANwhatsapp ya wachache na wala haiwezi kuzuilika na official WhatsApp
Mbongo alipie kitu. Hao GB Whatsapp wenyewe wakisema app zao kuanzia leo ulipie, utaona wote wanarudi kwenye official app kiroho safi!whatsap badala ya fungia fungia, wangeamua kupiga hela, kwamba kuwe na version 2, hii ya kawaida na premium, premium iwe na features zote kama za gb wasap na iwe ni ya kulipia, ila naona badala ya kunufaika na ubunifu wa wazee wa gb wao wanaleta wivu na kupiga ban... kama ni kitu watu wanapenda basi walipie kidogo iwe win win situation
Kuna moja inaitwa An-watsap
Naipataje hii mana nime google opera haipo kabisaTumia ANwhatsapp ya wachache na wala haiwezi kuzuilika na official WhatsApp
Labda wewe ndio hutalipiaMbongo alipie kitu. Hao GB Whatsapp wenyewe wakisema app zao kuanzia leo ulipie, utaona wote wanarudi kwenye official app kiroho safi!
Mm wameblock hadi simu mana hata kudownload haikubalkwangu inaleta ivyo ivyo, Wameblock number ila ukitumia namba nyingine inakubali