ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 219
- 235
Wadau kwema. Poleni na majukumu. Nina hasira sina kazi maisha ni kama yamenipiga. Serikali itukumbuke graduate. Tuna huzuni kuu.
Uh apart from hayo nijielekeze kwenye mada. Ni muda umepita tangu ndugu spika aliejiuzulu hajaonekana kwa uwazi. Ako wapi jamani. Kwa wanaofahamu kumhusu wanijuze. Hii ni mbaya sana. Watawala au watu tusichukue nafasi ya Mungu kwa kuwakosesha uhuru wengine. Undumilakuwili mbaya sana. Madam ji... Uh nina hasira mnipe kazi kwanza. Tuombeane.
Tuseme then tutende tuyasemayo. Na hawa mawaziri waache kutupa hope graduate. Am out.
ProMagufuli. Kwa sasa .Magulilwa
Uh apart from hayo nijielekeze kwenye mada. Ni muda umepita tangu ndugu spika aliejiuzulu hajaonekana kwa uwazi. Ako wapi jamani. Kwa wanaofahamu kumhusu wanijuze. Hii ni mbaya sana. Watawala au watu tusichukue nafasi ya Mungu kwa kuwakosesha uhuru wengine. Undumilakuwili mbaya sana. Madam ji... Uh nina hasira mnipe kazi kwanza. Tuombeane.
Tuseme then tutende tuyasemayo. Na hawa mawaziri waache kutupa hope graduate. Am out.
ProMagufuli. Kwa sasa .Magulilwa