Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,446
- 1,813
Huyu mwandishi wa Nipashe kaweka kibonzo hiki, je kunaanae muelewa? Ana maana ipi?
Hyo inamaana haondoi ufisadi? Yaan jitihada zote hizo kumbe anakata mnyororo wa ufisadi? Means ukikatika itakuwaje? Msaada mkuuanavunga kukata milija ya ufisadi lakini yeye kabaki upande wa mapapa mafisadi.
swissme
Kwa maana kwamba watzwatapona na ufisadi au utabaki?hyo mtu si atakuwa salama au m naelewa vibaya?Yaani kampa jpm ukweli naye ni jipu tuuu
kipeperushi chenyewe cha Nipashe, unategemea nini?View attachment 323219
Huyu mwandishi wa Nipashe kaweka kibonzo hiki, je kunaanae muelewa? Ana maana ipi?
Kikupashekipeperushi chenyewe cha Nipashe, unategemea nini?
Ukiwa uwanjani team yako imeelemewa lazima uwe huko huko kama una nia ya kuiokoa kwani ukienda team pinzani hutakuwa umeisaidia team yako wee mbulula.anavunga kukata milija ya ufisadi lakini yeye kabaki upande wa mapapa mafisadi.
swissme
anavunga kukata milija ya ufisadi lakini yeye kabaki upande wa mapapa mafisadi.
Dah!!
swissme
Ndio lakini sio kwa kiwango cha efficiency and effectivenessJe! Vipi kuhusu kifaa anachotumia kukata huo mnyororo? Msumeno ni valid kwa kazi hiyo kweli?
Chkua likeAcheni mihemko ya kisiasa., Magufuli chapa kazi baba