Kuna ambae ana uzoefu wa kuzaa na mke wa mtu humu?

Kuna ambae ana uzoefu wa kuzaa na mke wa mtu humu?

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
486
Reaction score
2,069
Jamani wakubwa zangu shikamooni.

Mdogo wenu nimeyakanyaga, kuna mwanamke ni mke wa mtu tena wa ndoa kabisa. Katika kuendekeza ngono zembe nimejikuta nimempiga mimba. Cha kushangaza yeye anaonekana hana hata wasiwasi,nimemuambia tuichomoe kakataa.

Wakuu,hii kesi naimaliza vipi?
 
VAR CHECK
 
Kesi Isha kua ngumu hii!Hapo tumia akili ya ziada
20250918_093122.jpg

Jamani wakubwa zangu shikamooni.
Mdogo wenu nimeyakanyaga.kuna mwanamke ni mke wa mtu tena wa ndoa kabisa.katika kuendekeza ngono zembe nimejikuta nimempiga mimba.
Cha kushangaza yeye anaonekana hana hata wasiwasi,nimemuambia tuichomoe kakataa.
Wakuu,hii kesi naimaliza vipi?
 
Mwanamke hatumii akili kwenye mbishe kama hizo bali hisia.

Yeye anahisi wewe ni mkombozi, savior, masihi, mtukuka kwenye maisha yake.
Mume wake ni mwanaume asiyejali, mbinafsi, asie na upendo, katili na sifa zote mbaya.

Hajui kua wewe ni mkata ufuta unaigiza kutaka mbunye kirahisi, na una muda wa kuchati kwasababu ni jobless na bukubuku za vocha unazimudu.

Sasa hapo hamna namna subiri bomu.

Wenzio hao huwa tunaishi nao kitaalamu sasa ulivyo bwege ukazama, subiri utiwe sharubati kunako.

#andaawese.
 
VAR CHECK
20251001_100147.jpg
 
Back
Top Bottom