imenikumbusha etiAjali ni ajali tu, iwe ya bodaboda, lori, treni, ndege au kuvujika kitanda, kuanguka zote ajali, uwe umetoka kwa hawara, wazazi, kazini, kwa mzee wa upako, kwa mufti zuberi, mganga wa kienyeji au popote pale panapokupa iwe ni rizki au furaha yako, nani mwingine inamuhusu?
Maisha yanaendelea tu
kifo ni kifo tu
ilisikika sauti ikisema