kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kwa mnaofanya biashara iwe za maduka,usambazi, za online na mnaofanya Delivery.
Ipo hivi mtu anakupgia simu anasema ameona umepost bidhaa fulani au anapiga simu anasema anahitaji bidhaa fulani kutoka Dukani kwako
Tena anasisitiza apelekewe na boda na gharama za kudeliva atalipia yeye mwenyewe.
Wewe unaenda kufanya delivery au unamtuma boda njiani anapiga simu anaomba mtu amnunulie umeme aende nao maana alipo yupo mbali na wanapouza umeme then ukifika utampa hizo token na wewe atakupa hela yako
Unaona kwa kua humpi token utaenda kumkabidhi ukifika ngoja ushuke ununue umeme, anakutumia namba ya mita unaenda wanapouza umeme!!Unaambiwa namba ya mita haijatimia
Unampigia anakuambia namba ya mita ni kweli haijatimia hivyo anaomba umuwekee hiyo hela ya umeme tu kwenye simu yake hapo ukijichanganya ukimuwekea imeisha hyo!!
Wengi wamelizwa!!Kuna boda katumwa juzi kamuwekea hela elfu 39...mwingine kaweka elfu 20 mwingine aliweka elfu 45 halafu ukikataa atakubali tu uende ukifika na delivery na mzigo wako atakuambia anakuja utakaa hapo utasubiri hapo ashakublock kitambo
Ipo hivi mtu anakupgia simu anasema ameona umepost bidhaa fulani au anapiga simu anasema anahitaji bidhaa fulani kutoka Dukani kwako
Tena anasisitiza apelekewe na boda na gharama za kudeliva atalipia yeye mwenyewe.
Wewe unaenda kufanya delivery au unamtuma boda njiani anapiga simu anaomba mtu amnunulie umeme aende nao maana alipo yupo mbali na wanapouza umeme then ukifika utampa hizo token na wewe atakupa hela yako
Unaona kwa kua humpi token utaenda kumkabidhi ukifika ngoja ushuke ununue umeme, anakutumia namba ya mita unaenda wanapouza umeme!!Unaambiwa namba ya mita haijatimia
Unampigia anakuambia namba ya mita ni kweli haijatimia hivyo anaomba umuwekee hiyo hela ya umeme tu kwenye simu yake hapo ukijichanganya ukimuwekea imeisha hyo!!
Wengi wamelizwa!!Kuna boda katumwa juzi kamuwekea hela elfu 39...mwingine kaweka elfu 20 mwingine aliweka elfu 45 halafu ukikataa atakubali tu uende ukifika na delivery na mzigo wako atakuambia anakuja utakaa hapo utasubiri hapo ashakublock kitambo