Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,003
- 3,437
Naomba kufundishwa na ww.Utadanganywa na mafundisho yake
Naomba kufundishwa na ww.Utadanganywa na mafundisho yake
Sawa mkuuNaomba kufundishwa na ww.
Nani aliyewahi waelewa akabaki Hai??? Ukiona umeanza kuwaelewa ujue kifo kipo karibu yakoWanawake generally ni viumbe wema sana.
Jitahidi uwaelewe wanawake wala hutakuja kuwalaumu humu.
Vijana mnapaswa mrudishwe shule kufundishwa kuhusu wanawake.
Nashukuru niliwaelewa wanawake mapema sana na sitakaa niwalaumu hata siku moja, wanawake ni viumbe wema sana. Wanawake ni moja ya viumbe wa baraka sana kuwepo Duniani.
Wanawake wote Mungu awabariki sana. Poleni sana kwa changamoto zote mnazopitia kwenye maisha, mahusiano nk.
They are crowded architect as well.
Una viashiria vyote vya mwanamke mkorofi.Unanitakaa !et unanipendaa !basiiiiiiii ntongozee.....
Pesa inafanya nn utakacho maishani ,unàchagua ulee mbususu ya aina ganii ,mambo yakulalamikia wanawake yamepitwa na wakati ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu wote.Waisrael
Ukitaka kumfahamu mwanamke utaumia sana.. kikubwa wewe simama kama mwanaume inatosha.. kama hujanielewa namna ya kusimama kama mwanaume achana na wanawake utakufa bure..
Nyuzi za kuwashambulia wanawake zimekuwa nyingi sana.
Hivi ni kwanini?
Nahisi Kuna jambo haliko sawa hasa Kwa sisi wanaume.
Hakuna jipya chini ya jua, pamoja na mambo kubadilika huuukweli hauwezi badilikaMambo yamebadilika sana