Kuna aina fulani ya wanamke ukiishi nao umejihukumu mwenyewe kifo

Kambi ya Fisi

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
12,962
21,065
Afadhali kuwa single maisha yako yote kuliko kufa mapema mikononi mwa mchawi. Wanawake wengine ni kama wachawi tu, kila siku wanaroga wanaume wa kuwatesa, wanapenda ndoa na huwa ni 'wanyenyekevu' kabla ya ndoa Ila baada ya ndoa hubadili kila kitu.

Baadhi ya wanawake ni watendaji wenye viituko - kila kitu wanataka kiende watakavyo wao . Hawana hisia ya huruma na hawapo tayali kubadilika. Wao ni wenye hisia kali, wenye hasira kali na wanaopenda kuwaka kwa hasira kamilifu.

Wanaweza kulipuka kwa usumbufu mdogo tu. Hakuna kitu kizuri cha kutosha kwao. Wao hujiona ni wa muhimu sana kuliko wanaume. Wanahoji kila kitu. Hawamwamini kamwe mwanaume. Wanamtilia shaka mwanaume kwa kila kitu.

Wanapenda kujua kila kitu hata kama ni jambo dogo. Hata ufanye nini au uvumilie vipi , mwanaume huwezi kamwe kukidhi mitazamo yao ya kukusumbua.

Daima wanapenda kuwa na neno la mwisho. Na kamwe hawakubali kuwa wamekosea.

Fedha siku zote ni idara yao. Wanaamua jinsi pesa itakavyotumika.

Mwanaume mwenzangu (hasa wewe ambaye hujaoa) usije kuishi na mwanamke kituko mwenye kudhibiti kila kitu nakushauri usiishi na mwanamke mkorofi, utakufa kabla ya muda wako kufika.

Ni heri ukae kwenye kona ya paa la nyumba yako (Mithali 25:24) na umngoje Masihi.

Ubarikiwe.
Screenshot_20230113-042325.png
 
Wanawake generally ni viumbe wema sana.

Jitahidi uwaelewe wanawake wala hutakuja kuwalaumu humu.

Vijana mnapaswa mrudishwe shule kufundishwa kuhusu wanawake.

Nashukuru niliwaelewa wanawake mapema sana na sitakaa niwalaumu hata siku moja, wanawake ni viumbe wema sana. Wanawake ni moja ya viumbe wa baraka sana kuwepo Duniani.

Wanawake wote Mungu awabariki sana. Poleni sana kwa changamoto zote mnazopitia kwenye maisha, mahusiano nk.
 
Afadhali kuwa single maisha yako yote kuliko kufa mapema mikononi mwa mchawi. Wanawake wengine ni kama wachawi tu, kila siku wanaroga wanaume wa kuwatesa, wanapenda ndoa na huwa ni 'wanyenyekevu' kabla ya ndoa Ila baada ya ndoa hubadili kila kitu.

Baadhi ya wanawake ni watendaji wenye viituko - kila kitu wanataka kiende watakavyo wao . Hawana hisia ya huruma na hawapo tayali kubadilika. Wao ni wenye hisia kali, wenye hasira kali na wanaopenda kuwaka kwa hasira kamilifu.

Wanaweza kulipuka kwa usumbufu mdogo tu. Hakuna kitu kizuri cha kutosha kwao. Wao hujiona ni wa muhimu sana kuliko wanaume. Wanahoji kila kitu. Hawamwamini kamwe mwanaume. Wanamtilia shaka mwanaume kwa kila kitu.

Wanapenda kujua kila kitu hata kama ni jambo dogo. Hata ufanye nini au uvumilie vipi , mwanaume huwezi kamwe kukidhi mitazamo yao ya kukusumbua.

Daima wanapenda kuwa na neno la mwisho. Na kamwe hawakubali kuwa wamekosea.

Fedha siku zote ni idara yao. Wanaamua jinsi pesa itakavyotumika.

Mwanaume mwenzangu (hasa wewe ambaye hujaoa) usije kuishi na mwanamke kituko mwenye kudhibiti kila kitu nakushauri usiishi na mwanamke mkorofi, utakufa kabla ya muda wako kufika.

Ni heri ukae kwenye kona ya paa la nyumba yako (Mithali 25:24) na umngoje Masihi.

Ubarikiwe.
Ni kuomba mungu akuongoze kupata chaguo sahihi
 
Wanawake generally ni viumbe wema sana.

Jitahidi uwaelewe wanawake wala hutakuja kuwalaumu humu.

Vijana mnapaswa mrudishwe shule kufundishwa kuhusu wanawake.

Nashukuru niliwaelewa wanawake mapema sana na sitakaa niwalaumu hata siku moja, wanawake ni viumbe wema sana. Wanawake ni moja ya viumbe wa baraka sana kuwepo Duniani.

Wanawake wote Mungu awabariki sana. Poleni sana kwa changamoto zote mnazopitia kwenye maisha, mahusiano nk.
Kwa niaba ya wanawake wenzangu nasemaje Asante na Mungu akuzingatie Sana kwenye kila Jambo lako.Barikiwa
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom