Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Unahisi?Nyuzi za kuwashambulia wanawake zimekuwa nyingi sana.
Hivi ni kwanini?
Nahisi Kuna jambo haliko sawa hasa Kwa sisi wanaume.
Wanawake ndio wanaishi kwa kuhisi.
Unahisi?Nyuzi za kuwashambulia wanawake zimekuwa nyingi sana.
Hivi ni kwanini?
Nahisi Kuna jambo haliko sawa hasa Kwa sisi wanaume.
Unapo CHAPUTA huwa unamuwaza nani ndugu?Ndyo maana mm CHAPUTA
Hawajui wanawake wakorofi huyuUnahisi?
Wanawake ndio wanaishi kwa kuhisi.
Mwanamke aliumbwa kutumika Kama chombo Cha starehe na mwanaume.
Sasa nyie mnaopambana kuwaelewa wanawake shauri zenu.
Nyuma ya keyboard unapanga kumchanua mchumba weekend 😅
Unaonekana kuwa wewe ni team wakorofi 😂Inawezekana mwanamke wako ana akili kukuliko mana anaona huwezi kujiongeza hata kwa jambo dogo,
Utadanganywa na mafundisho yakeMkuu tunaomba/ninaomba kufundishwa somo husika.
Ndio wapi huko?tunauhitaji ASAP.
😂Naomba uwaandalie uzi labda wataelewa
Watafundishwa saa ngapi wakati wengi wao ni vilaza wenye haraka za kuoa?Shida ni ndogo sana kwa walalamikaji, ni kwamba wanaingia kwenye chumba Cha mtihani (mahusiano) kabla ya kufundishwa masomo husika
Inaharibu misuri hiyo brother.
Kweli kabisaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Wengi huhakiki wowowo na kujiridhisha kisha wanaoaKabla ya kuoa hakikisha huyo unayemuoa yuko submissive kwako. Kama huna control naye kwa 100 usioe
ILA TULIAMBIWA TUISH NAO KWA AKILI CHA MSINGI JIPE MOYO USIKATE TAMAA WALA USIZIRE KATAFUTE AKILI HATA ZA KUKOPA MPIEANIAfadhali kuwa single maisha yako yote kuliko kufa mapema mikononi mwa mchawi. Wanawake wengine ni kama wachawi tu, kila siku wanaroga wanaume wa kuwatesa, wanapenda ndoa na huwa ni 'wanyenyekevu' kabla ya ndoa Ila baada ya ndoa hubadili kila kitu.
Baadhi ya wanawake ni watendaji wenye viituko - kila kitu wanataka kiende watakavyo wao . Hawana hisia ya huruma na hawapo tayali kubadilika. Wao ni wenye hisia kali, wenye hasira kali na wanaopenda kuwaka kwa hasira kamilifu.
Wanaweza kulipuka kwa usumbufu mdogo tu. Hakuna kitu kizuri cha kutosha kwao. Wao hujiona ni wa muhimu sana kuliko wanaume. Wanahoji kila kitu. Hawamwamini kamwe mwanaume. Wanamtilia shaka mwanaume kwa kila kitu.
Wanapenda kujua kila kitu hata kama ni jambo dogo. Hata ufanye nini au uvumilie vipi , mwanaume huwezi kamwe kukidhi mitazamo yao ya kukusumbua.
Daima wanapenda kuwa na neno la mwisho. Na kamwe hawakubali kuwa wamekosea.
Fedha siku zote ni idara yao. Wanaamua jinsi pesa itakavyotumika.
Mwanaume mwenzangu (hasa wewe ambaye hujaoa) usije kuishi na mwanamke kituko mwenye kudhibiti kila kitu nakushauri usiishi na mwanamke mkorofi, utakufa kabla ya muda wako kufika.
Ni heri ukae kwenye kona ya paa la nyumba yako (Mithali 25:24) na umngoje Masihi.
Ubarikiwe.
ILA TULIAMBIWA TUISH NAO KWA AKILI CHA MSINGI JIPE MOYO USIKATE TAMAA WALA USIZIRE KATAFUTE AKILI HATA ZA KUKOPA MPIEANI
🤣 🤣 🤣 🤣 Hapo ndio tabu huanzia. Kwanini nasema hivyo ni kwa sababu mwanamke huwa ha submit kwa mtu ambaye hampendi hata siku moja.Wengi huhakiki wowowo na kujiridhisha kisha wanaoa
Kwa hyo ww smart unasema tusioe ama?Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Fanya kile unachoona sawa...Kwa hyo ww smart unasema tusioe ama?