pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
Wanawake nchini Burundi wana mazoea ya kuwaandalia wenza wao kondoms wanaposafiri. Je, hiyo inamaanisha kuwa wanaume hawawezi kuvumilia? Na kitendo cha kupewa kondoms na mke hakiwezi kuonekana ni kuhalalisha tendo nje ya ndoa? Mnasemaje wana JF!
inaelekea wanawake wa huko burundi hawajiamini,if you decide to be a door mat,people will step on you!...i cant see myself doing this,ni kama umempa fursa/uhalali wa kwenda kufanya ngono huko nje, kama ni magonjwa usidhanie ukimpakia condom ndio guarantee atazitumia...